Tuna haki ya kususia bidhaa kutoka Canada!

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,052
28,242
Inaelekea Canada ni chaka la kuhifadhi wanyonyaji wanaoiba fedha Afrika na kwenda kujenga majumba ya kifahari nchini canada.
Wengi wetu tunatambua waliokomba fedha nchini na kwenda mapunzikoni canada.

Nchi ya Canada kwa kuruhusu mzunguko wa fedha zilizopatikana kwa dhulma na unyonyaji Africa inajiweka kwenye kundi la mabeberu wanaouma na kupuliza.

Kama watanzania na waafrika yatupasa sasa kuanza kufikiri upya zaidi ...
Kwanza tuna kila sababu ya kugomea kununua na kutumia bidhaa kutoka Canada ....hili linawezekana na linastahiki kufanyika ili waielewe lugha tunayowaeleza.
 
Huna jeuri hiyo wewe Jinga Lao. Wakati ARV mnawategemea hao hao unaanzaje kususia?
Inaelekea Canada ni chaka la kuhifadhi wanyonyaji wanaoiba fedha Afrika na kwenda kujenga majumba ya kifahari nchini canada.
Wengi wetu tunatambua waliokomba fedha nchini na kwenda mapunzikoni canada.

Nchi ya Canada kwa kuruhusu mzunguko wa fedha zilizopatikana kwa dhulma na unyonyaji Africa inajiweka kwenye kundi la mabeberu wanaouma na kupuliza.

Kama watanzania na waafrika yatupasa sasa kuanza kufikiri upya zaidi ...
Kwanza tuna kila sababu ya kugomea kununua na kutumia bidhaa kutoka Canada ....hili linawezekana na linastahiki kufanyika ili waielewe lugha tunayowaeleza.
 
Inaelekea Canada ni chaka la kuhifadhi wanyonyaji wanaoiba fedha Afrika na kwenda kujenga majumba ya kifahari nchini canada.
Wengi wetu tunatambua waliokomba fedha nchini na kwenda mapunzikoni canada.

Nchi ya Canada kwa kuruhusu mzunguko wa fedha zilizopatikana kwa dhulma na unyonyaji Africa inajiweka kwenye kundi la mabeberu wanaouma na kupuliza.

Kama watanzania na waafrika yatupasa sasa kuanza kufikiri upya zaidi ...
Kwanza tuna kila sababu ya kugomea kununua na kutumia bidhaa kutoka Canada ....hili linawezekana na linastahiki kufanyika ili waielewe lugha tunayowaeleza.
Msisusie kununua bidhaa tu za Canada susieni pia misaada yao
 
Inaelekea Canada ni chaka la kuhifadhi wanyonyaji wanaoiba fedha Afrika na kwenda kujenga majumba ya kifahari nchini canada.
Wengi wetu tunatambua waliokomba fedha nchini na kwenda mapunzikoni canada.

Nchi ya Canada kwa kuruhusu mzunguko wa fedha zilizopatikana kwa dhulma na unyonyaji Africa inajiweka kwenye kundi la mabeberu wanaouma na kupuliza.

Kama watanzania na waafrika yatupasa sasa kuanza kufikiri upya zaidi ...
Kwanza tuna kila sababu ya kugomea kununua na kutumia bidhaa kutoka Canada ....hili linawezekana na linastahiki kufanyika ili waielewe lugha tunayowaeleza.
Nimefurahishwa na hatua ya waziri kumkalisha kitako balozi wa Canada.

Siku ile ndege ya kwanza imefika Dar alijichekesha halafu akasema karibuni Canada mnunue ndege zetu nyingine.
 
Kabla ya kususia bidhaa yoyote ya Canada tuanze kwanza kususia misaada yote kutoka Canada. Tuoneshe kuwa tuna msimamo.

Yote kwa yote, bidhaa kubwa kutoka Canada ni zile ndege za Bombardier ambazo serikali ya Tanzania ilizinunua na kuwapa ATCL. Vipi sasa tuanze kuzisusia kuzipanda?
 
Back
Top Bottom