Tuna haki ya kimsingi kabisa ya kumkosoa Rais. Ni wajibu wa raia kukosoa Serikali.”

Kukosoa na kutoa wazo mbadala ni sahihi,sio kutukana ,kukashifu,kuzodoa, kukejeri,na kudharau
 
Museveni aliuliza "huu ni 'bwato' wa kutengenezea pombe au wa kutuvusha Ziwa Burigi?" 🤔🤔🤩
...... hafafu akapotezea kwa kuulizia kitongoji cha Bwanga, wasukuma wenzangu wakacheka wakifikiria anaongelea kipara chake maana kwa kisukuma wanga (bwanga) ni upara 🤭 😂 !
....... Lakini kwa waswahili wa pwani bwana ihiii, WANGA (BWANGA) manaake ni '
WITCHES' ☠☠💀
1563437498616-png.1156379
 
Kumpiga mtoto na kumwambia acha kulia ni kosa kwa sababu umemnyima haki yake ya kulia~ Askofu Bagonza.

Huu utawala haupendi kukoselewa wanachopenda zaidi kusifiwa na waandamizi wa serikali hii ni wanafiki kwa sababu wanaona kukosoa serikali ni kukosa uzalendo, tubadirike jaman mtu anayekwambia kwa dhati kama umekosea ana lengo la kukutaka ubadirike kwa sababu anakupenda.
 
Kumpiga mtoto na kumwambia acha kulia ni kosa kwa sababu umemnyima haki yake ya kulia~ Askofu Bagonza.

Huu utawala haupendi kukoselewa wanachopenda zaidi kusifiwa na waandamizi wa serikali hii ni wanafiki kwa sababu wanaona kukosoa serikali ni kukosa uzalendo, tubadirike jaman mtu anayekwambia kwa dhati kama umekosea ana lengo la kukutaka ubadirike kwa sababu anakupenda.
Askofu anayeshabikia rais kutukanwa...
 
Wapi aliposhabikia rais kutukanwa? Tafadhali naomba ujue na ushahidi wa kimaandishi au wa sauti kuthibitisha tuhuma zako. Kama hautakuwa na hivyo vitu tajwa hapo juu basi wewe utakuwa MNAFIKI
Askofu anayeshabikia rais kutukanwa...
 
Nchi yetu ,tuna haki zote za kumkosoa ,yeye ni mpangaji tu anaweza ondoka tukitaka muda wowote ile tofauti na anavyofikiri na kushauriwa na kagame na museveni .
 
Umenena ukweli mtupu. Tatizo nchi yetu, ilipofuata mfumo wa serikali za ki communist . Usitegemee kumkosoa Rais direct or indirect . Angalia nchi zote za communist ama umtukuze kiongozi na chama tawala. Si vinginevyo. Kama bungeni tu sasa hivi ni ruhusa kumtaja kwa kumsifu not otherwise. Na bungeni upinzani upo ki katiba na kuna kambi rasmi ya upinzani . Ukimtaja kwa kumkosoa ama Ndugai, Tulia au Jenister moja lazima atasimama.

Pili katiba hii ya 1977 inaumba moja wetu kuwa mungumutu. Inatakiwa ukichaguliwa ktk nafasi hiyo uwe na utu kwa watu wako. Nashukuru juzi kule Kongwa alisema hataki kuongoza nchi na watu wenye maumivu na machozi. Hataki kuona watu wake wakinyanyaswa. Labda asimamie msimamo huo.
I like this: praise! the Lord
 
tatizo syo kukosoa bali watanzania wengi hutumia kauli za kejeli pia tukumbuke kuwa urais ni tasis inayongozwa na mtu,i hope unafahamu nini kitatokea endapo utaenda kumtukana mzee wako unaeishi kwake tusi la nguoni kisa hakuacha hela ya chai asubuhi,japokuwa mzee huyo hana hata uwezo wa kununua panga lakini atachokufanya nadhani unaweza kulazwa muhimbili week nzima je itakuwa rais mwenye mamlaka ya juu kuliko ote ndani ya nchi?kukosoa kupo na ndo inavyotakiwa but kuna jinsi ya kukosoa siyo kwa kejeli na kutafuta njia za kumdhalilisha mtu
 
Back
Top Bottom