Mimi kwa upande wangu mpaka uridhike au mpaka upate kile ulichokikusudia kukipata! Pia hata hizo sample za kz uliziona hapo ni kz za watu zilizokamilika mpaka imefikia hapo mteja tayar anakuwa ameridhika na Design niliyofanya!Nzuri sana kaka,
Nimeona wabunifu wengi, linapokuja suala la sample, wako vizuri sana, ila sasa kwenye kazi halisi (unapompa kazi ... ni asilimia chache sana, zinakua za kuridhisha.
Sijui kwako wewe hili likoje?
Nipe Mfano wa unachokitaka ili nikuelewe vzr zaidi kipi unamaanisha!Mkuu napataje logo 3D?
Nipe Mfano wa unachokitaka ili nikuelewe vzr zaidi kipi unamaanisha!
Ok! Nishaelewa unachohitaji nicheck whatsapp tufanye biashara 0658 060 476Yaani logo ambayo inakuwa ni maneno tu bila hiyo background nyeupe, yawe ni maneno tu niliwahi muelekeza mtu akaniambia sijui watermark sasa mi si mtaalamu wa hayo mambo ila nahitaji kitu cha ivyo. Yawe maneno tu bila hiyo background nyeupe, background iwe colourless
Ndiyo mkuu karibu!