Tumwombee msemaji wa simba kapofuka jicho moja

Victor wa happy

JF-Expert Member
Apr 24, 2013
11,660
11,641
Ndugu wanasports
Nimepokea kwa mshituko kuwa msemaji mkuu wa klabu cha simba s.c ndugu sande manara amepofuka jicho moja halioni kabisa na lingine lililobaki linaona kwa uhafifu sana
Hivyo sisi kama watu wa Mpira hatuna budi kuungana na familia yake katika kipindi hiki kigumu
Mungu amponye kwa hili tatizo lililomfika

Niwaonye pia viongozi na wapenzi wa yanga kama kuna kitu wanakifanya nyuma ya pazia waache Mara moja

Mambo ya kuvunjiana nazi yashapitwa na wakati

Mungu mbariki manara,Mungu ibariki simba s.c
 
Ndugu wanasports
Nimepokea kwa mshituko kuwa msemaji mkuu wa klabu cha simba s.c ndugu sande manara amepofuka jicho moja halioni kabisa na lingine lililobaki linaona kwa uhafifu sana
Hivyo sisi kama watu wa Mpira hatuna budi kuungana na familia yake katika kipindi hiki kigumu
Mungu amponye kwa hili tatizo lililomfika

Niwaonye pia viongozi na wapenzi wa yanga kama kuna kitu wanakifanya nyuma ya pazia waache Mara moja

Mambo ya kuvunjiana nazi yashapitwa na wakati

Mungu mbariki manara,Mungu ibariki simba s.c
ndg umekosea sn kuingiza ushabiki ktk hili,usingeingiza habari ya yanga kwenye Uzi wako.kwa hiyo yanga wamemroga ama?haya mwanasimba.
 
Yanga inahusika vp wakati ina vimeo vyake?
Mleta mada mwenyewe anajikanyaga tu kiasi cha kushindwa kuaiamini hata taarifa yake. Msemaji wa Simba ni Haji Manara na siyo huyo aliyemtaja yeye. Nijuavyo mimi Haji Manara ni mtu mwenye ulemavu wa ngozi hivyo matatizo ya macho ni kitu cha kawaida tu, hakuna uchawi wala nini. Mleta mada aache imani za kishirikina.
 
Ndugu wanasports
Nimepokea kwa mshituko kuwa msemaji mkuu wa klabu cha simba s.c ndugu sande manara amepofuka jicho moja halioni kabisa na lingine lililobaki linaona kwa uhafifu sana
Hivyo sisi kama watu wa Mpira hatuna budi kuungana na familia yake katika kipindi hiki kigumu
Mungu amponye kwa hili tatizo lililomfika

Niwaonye pia viongozi na wapenzi wa yanga kama kuna kitu wanakifanya nyuma ya pazia waache Mara moja

Mambo ya kuvunjiana nazi yashapitwa na wakati

Mungu mbariki manara,Mungu ibariki simba s.c
Aiseee wee unaonekana hats kuzaliwakwako mganga alishiriki ujiowako loh ..Yanga wamloge anananini
 
Mleta mada mwenyewe anajikanyaga tu kiasi cha kushindwa kuaiamini hata taarifa yake. Msemaji wa Simba ni Haji Manara na siyo huyo aliyemtaja yeye. Nijuavyo mimi Haji Manara ni mtu mwenye ulemavu wa ngozi hivyo matatizo ya macho ni kitu cha kawaida tu, hakuna uchawi wala nini. Mleta mada aache imani za kishirikina.
Mkuu asante Kwa kunisahihisha
Ni haji manara
Tumwombee apone haraka
 
Maradhi ni kawaida kwa binaadam. Nampa pole sana bwana Manala!
Angalizo: Wana msimbazi chondechonde msimtupe mithiri ya jongoo na mti wake kama mlivyomtendea Siang'a!
CC GENTAMYCINE
 
Mungu ampe tahfiifu ili aendelee na majukumu yake ya kuokoa jahaz la klabu "cha simba" kama mtoa mada alivyotanabaisha
 

Similar Discussions

2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom