Tumwombee Ben Saanane

Invisible

Robot
Feb 11, 2006
9,075
7,878
Mwenzetu Ben mwishoni mwa mwaka jana baada ya Noel alipata ajali ya gari huko India (New Delhi) na sasa anaendelea vema.

Leo amefanikiwa kuingia JF na kwakuwa kanifahamisha juu ya kilichomsibu ningependa kwa pamoja tushirikiane kumwombea afya njema na apone na kurejelea afya yake mapema iwezekanavyo.

Get well soon Ben!
 
Jamani muwe mnanyambua Ben yupi tafadhali.
Pole Ben get well soon
 
Pole sana ben!!!!mungu akupe nguvu ushinde majaribu yote ya mwovu shwetani 2009
 
Wakuu Wangu,

Asanteni sana.Nimefarijika sana na Mungu awabariki sana.Kwa kweli namshukuru Mungu ninaendelea vizuri.

Kwa kweli sina cha kuwalipa kwa upendo wenu na roho ya Huruma,Baraka za Mungu Ziwamiminikie sana. Asanteni kwa kunifariji.
 
Nyani ngabu mkuu siku nyingine tuanze na [elpo mengine yatakuja aiza unamjua humjui tuwaombee kwa mola kwanza).....wapate afya kama yako
kila la kheri na wote waliopata ajala wanaopata ajali na watakaopata ajali nawapa pole))
 
Ben,

Pole sana na mungu akusaidie upate nafuu haraka na kurudi kwenye mihangaiko yako ya kawaida.
 
pole sana Ben, na namuomba Mwenyezi akurudishie nguvu zote za mwili na kuendelea kukupa shime katika yote ufanyayo.
 
pole sana ben. mola aendelee kukulinda na kukupa afya njema.

mkuu mafisadi walitaka kukutoa sadaka nini? lol
mambo ya epa unajua jamaa wanaweza pita "mlingotini" ati lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom