Tumuombee sana Profesa J

Nasikia tango ni tunda moja zuri ya kusafisha figo.
mojawapo ya chakula nisichopenda kukila tangu nijaribu kuwa mkulima nikagundua namna linavyowekwa mbolea na kemikali na dawa, nikiliona sokoni hadi huwa nawaonea huruma. mnakula kemikali tu. walau kidogo nyanya kwasababu unamenya, ila tango na tikitimaji za kibongo, labda ulime mwenyewe, la sivyo zinakuzwa kwa madawa na mnakula madawa tu pale ambayo yanaweza kusababisha kansa. ujiulize kwaninikansa ni magonjwa ya mjini tu ambako vyakula hivyo vinauzwa (kijijini kununua tikiti au tango ni anasa ambayo hutakiwi kusikika ukiifanya), mjini ndo hasara zake.
 
mojawapo ya chakula nisichopenda kukila tangu nijaribu kuwa mkulima nikagundua namna linavyowekwa mbolea na kemikali na dawa, nikiliona sokoni hadi huwa nawaonea huruma. mnakula kemikali tu. walau kidogo nyanya kwasababu unamenya, ila tango na tikitimaji za kibongo, labda ulime mwenyewe, la sivyo zinakuzwa kwa madawa na mnakula madawa tu pale ambayo yanaweza kusababisha kansa. ujiulize kwaninikansa ni magonjwa ya mjini tu ambako vyakula hivyo vinauzwa (kijijini kununua tikiti au tango ni anasa ambayo hutakiwi kusikika ukiifanya), mjini ndo hasara zake.
Kemikali ni nini? Msosi wowote ule una kemikali. Zile kemikali zinasaidia ukuaji wa mmea tu haizdhuru mwili wa binadamu. HIVI UNAJUA DUNIANI HEWA YA OKSIJENI NDOGO KULIKO HEWA YA NITROGEN?
 
mojawapo ya chakula nisichopenda kukila tangu nijaribu kuwa mkulima nikagundua namna linavyowekwa mbolea na kemikali na dawa, nikiliona sokoni hadi huwa nawaonea huruma. mnakula kemikali tu. walau kidogo nyanya kwasababu unamenya, ila tango na tikitimaji za kibongo, labda ulime mwenyewe, la sivyo zinakuzwa kwa madawa na mnakula madawa tu pale ambayo yanaweza kusababisha kansa. ujiulize kwaninikansa ni magonjwa ya mjini tu ambako vyakula hivyo vinauzwa (kijijini kununua tikiti au tango ni anasa ambayo hutakiwi kusikika ukiifanya), mjini ndo hasara zake.
Kuna mwanangu mmoja mzee wake alikuwa na hilo tatizo la figo ila stage za mwanzo alivyoenda hospitalini moja ya ushauri alio ambiwa na madaktari ale matango.

Sasa kama ndio hivyo hivi kila chakula kina sumu, manake vyote tunavyokula kwa sisi wa mjini vinakuzwa na madawa,sasa tusaidie njia nyingine ya kusafisha figo.

Ila kuna matunda ni dawa nzuri mfano apple ni dawa nzuri ya kusafisha ini.
 
ARV inakula Figo balaa
Mmh!
images-506.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati mwingine maradhi hutokea kama mitihani tu kwa mwanadamu na ukumbusho kwa wengine kuwa sisi SI lolote si chochote mbele ya mola wetu........

Unaweza ukafuata taratibu zote za kiafya lakini ukaangukia kwenye likakutesa na kuyachukua maisha yako.......

Kutokana na hali zetu za kimaisha tulio wengi tunakula na kunywa tunavyovipata na sio tunavyovitaka........

Kitu Cha muhimu ni kuishi kwa wema na wanadamu wenzako maana hakuna ajuae siku wala saa.........
Kweli aisee Kuna ndugu yangu mmoja alikua mfuatiliaji mzuri Sana wa masuala ya afya anakula vizuri mafuta hatumii ikibidi Sana kutumia mafuta anatumia ya alizeti tu pombe hanywi yaani kwa kifupi alikua anajali Sana afya yake kupitia chakula lakini bahati mbaya tulimpoteza kwa kansa.kwahiyo kifo ni fumbo
 
Back
Top Bottom