Matumizi ya mara kwa mara ya dawa za kutuliza maumivu kama paracetamol n.k pia yanachangia matatizo ya figoZipo sababu nyingi ila kubwa ni shinikizo kubwa la damu, kisukari, kuziba kwa virija kwenye figo na mawe kwenye figo
mojawapo ya chakula nisichopenda kukila tangu nijaribu kuwa mkulima nikagundua namna linavyowekwa mbolea na kemikali na dawa, nikiliona sokoni hadi huwa nawaonea huruma. mnakula kemikali tu. walau kidogo nyanya kwasababu unamenya, ila tango na tikitimaji za kibongo, labda ulime mwenyewe, la sivyo zinakuzwa kwa madawa na mnakula madawa tu pale ambayo yanaweza kusababisha kansa. ujiulize kwaninikansa ni magonjwa ya mjini tu ambako vyakula hivyo vinauzwa (kijijini kununua tikiti au tango ni anasa ambayo hutakiwi kusikika ukiifanya), mjini ndo hasara zake.Nasikia tango ni tunda moja zuri ya kusafisha figo.
Kemikali ni nini? Msosi wowote ule una kemikali. Zile kemikali zinasaidia ukuaji wa mmea tu haizdhuru mwili wa binadamu. HIVI UNAJUA DUNIANI HEWA YA OKSIJENI NDOGO KULIKO HEWA YA NITROGEN?mojawapo ya chakula nisichopenda kukila tangu nijaribu kuwa mkulima nikagundua namna linavyowekwa mbolea na kemikali na dawa, nikiliona sokoni hadi huwa nawaonea huruma. mnakula kemikali tu. walau kidogo nyanya kwasababu unamenya, ila tango na tikitimaji za kibongo, labda ulime mwenyewe, la sivyo zinakuzwa kwa madawa na mnakula madawa tu pale ambayo yanaweza kusababisha kansa. ujiulize kwaninikansa ni magonjwa ya mjini tu ambako vyakula hivyo vinauzwa (kijijini kununua tikiti au tango ni anasa ambayo hutakiwi kusikika ukiifanya), mjini ndo hasara zake.
zinatofautiana kiwango mzee, acha mbwembwe. ulishawahi kuwa mkulima?Kemikali ni nini? Msosi wowote ule una kemikali. Zile kemikali zinasaidia ukuaji wa mmea tu haizdhuru mwili wa binadamu. HIVI UNAJUA DUNIANI HEWA YA OKSIJENI NDOGO KULIKO HEWA YA NITROGEN?
Kuna mwanangu mmoja mzee wake alikuwa na hilo tatizo la figo ila stage za mwanzo alivyoenda hospitalini moja ya ushauri alio ambiwa na madaktari ale matango.mojawapo ya chakula nisichopenda kukila tangu nijaribu kuwa mkulima nikagundua namna linavyowekwa mbolea na kemikali na dawa, nikiliona sokoni hadi huwa nawaonea huruma. mnakula kemikali tu. walau kidogo nyanya kwasababu unamenya, ila tango na tikitimaji za kibongo, labda ulime mwenyewe, la sivyo zinakuzwa kwa madawa na mnakula madawa tu pale ambayo yanaweza kusababisha kansa. ujiulize kwaninikansa ni magonjwa ya mjini tu ambako vyakula hivyo vinauzwa (kijijini kununua tikiti au tango ni anasa ambayo hutakiwi kusikika ukiifanya), mjini ndo hasara zake.
Pia tusiasahu na lowassa nae yuko icuAnaumwa sana,kalazwa ICU,hadi sasa haijafahamika shida nini.....Get well Soon Prof J.
Itisha harambee mkamtibu. Je wanachama wengine wasio na majina makubwa hutibiwaje?mbona kumtoa mbowe na wenzake huwa mnachanga, kwanini msichange kuokoa maisha ya ndugu huyu? fanyeni hivyo prof atachangiwa na vyama vyote kwasababu ni mstaarabu, hana matusi, mtu wa watu, ni tofauti kabisa na wanacdm wengi.
Duuh noma sana!!Pia tusiasahu na lowassa nae yuko icu
Sema tunachanga mkuu kwan ww ni Kibajaji nn?mbona kumtoa mbowe na wenzake huwa mnachanga, kwanini msichange kuokoa maisha ya ndugu huyu? fanyeni hivyo prof atachangiwa na vyama vyote kwasababu ni mstaarabu, hana matusi, mtu wa watu, ni tofauti kabisa na wanacdm wengi.
Kweli aisee Kuna ndugu yangu mmoja alikua mfuatiliaji mzuri Sana wa masuala ya afya anakula vizuri mafuta hatumii ikibidi Sana kutumia mafuta anatumia ya alizeti tu pombe hanywi yaani kwa kifupi alikua anajali Sana afya yake kupitia chakula lakini bahati mbaya tulimpoteza kwa kansa.kwahiyo kifo ni fumboWakati mwingine maradhi hutokea kama mitihani tu kwa mwanadamu na ukumbusho kwa wengine kuwa sisi SI lolote si chochote mbele ya mola wetu........
Unaweza ukafuata taratibu zote za kiafya lakini ukaangukia kwenye likakutesa na kuyachukua maisha yako.......
Kutokana na hali zetu za kimaisha tulio wengi tunakula na kunywa tunavyovipata na sio tunavyovitaka........
Kitu Cha muhimu ni kuishi kwa wema na wanadamu wenzako maana hakuna ajuae siku wala saa.........