King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,643
- 68,586
Faiza uliteleza mwenyewe mwache mke wa sugu ale mema ya nchi kwa MVMP Jongwe Misuti.
Wewe umemdhalilisha mwanaume kumwambia ana kiba 100 sasa leo nini tatizoSiku ya jana ilikuwa ni furaha kuu kwa Mhe Sugu baada ya kufunga ndoa takatifu huko Mbeya, lakini upande wa pili wa X wake Faiza Ally ni kilio
View attachment 1194747
View attachment 1194762
View attachment 1194763
Ila ningekuwa na hela ningemuoa huyu dada ni vile tu mm kapuku namkubali saaana huyu mdada ila najua cwez hata kusalimiana nae ,mimi namuombea kwa Mungu
Ameharibu ndoa kwa mikono yake mwenyeweSiku ya jana ilikuwa ni furaha kuu kwa Mhe Sugu baada ya kufunga ndoa takatifu huko Mbeya, lakini upande wa pili wa X wake Faiza Ally ni kilio
View attachment 1194747
View attachment 1194762
View attachment 1194763
unapenda siku moja aje atutangazie sizes za nyeti zako naonaIla ningekuwa na hela ningemuoa huyu dada ni vile tu mm kapuku namkubali saaana huyu mdada ila najua cwez hata kusalimiana nae ,mimi namuombea kwa Mungu
huo ni zaidi ya udhaifu kabisa na ukizingatia alishamove on na kuzaa akazaa sjui haelewi anataka nini kwene mahusiano yakeNi udhaifu mkubwa kumuonesha chozi ex wako!
yaani alimdhalilisha sana jamaa sa sjui saivi anatamani akufukuliweHuyu demu alisema sugu alitaka kumfukua mtaro na hamtaki tena.anajiliza nini sasa
ujawai kuona post za uyo dada alivokuwa akimtukana sugu??? afu mshikaji kajinyamazia tuPole yake aisee.
Inaonekana Sugu kamuumiza huyu dada mno
Mabaharia siku zote huwa na roho ngumu, huyu faiza naona siku hizi kama anatumia mkorogo, siyo kama kipindi akiwa na rais wa mbeyaAisee iv Ni Mimi na kengeza au vipi,mbona Mimi namwona uso umemkoboka Sana namimi mwanamke wa type iyo kwangu Ni kinyaaa
Acha kutudhalilisha wanaume Sugu keshatia Sugu kunako afu wewe unawaza kuoa mkuu.Ila ningekuwa na hela ningemuoa huyu dada ni vile tu mm kapuku namkubali saaana huyu mdada ila najua cwez hata kusalimiana nae ,mimi namuombea kwa Mungu
alimtafuta sana kumdhalilisha kijana wa watu nafikiri alijua jamaa atamrudia ili faiza aache kumtukana mitandaoni aliandika mambo ya ovyo sana siwezi kuwa na confidence ya kumdhalilisha ivo ex wangu aseeWewe umemdhalilisha mwanaume kumwambia ana kiba 100 sasa leo nini tatizo
Yaani mimi nikimuona namna hiyo mpaka namuogopa. Ni kinyaaAisee iv Ni Mimi na kengeza au vipi,mbona Mimi namwona uso umemkoboka Sana namimi mwanamke wa type iyo kwangu Ni kinyaaa
Kuna uchiz hapoalimtafuta sana kumdhalilisha kijana wa watu nafikiri alijua jamaa atamrudia ili faiza aache kumtukana mitandaoni aliandika mambo ya ovyo sana siwezi kuwa na confidence ya kumdhalilisha ivo ex wangu asee
Ni makosa sana kufikiria kumsema vibaya mzazi ama x wako. Leo hii kibamia cha sugu kinamtoa machozi. Kama kweli alimpenda kwanini alimdhalilisha kile? Eti sugu alitaka kumlawiti sasa ama move on iweje Leo alilie penzi la mtu aliyetaka kumlawiti?alimtafuta sana kumdhalilisha kijana wa watu nafikiri alijua jamaa atamrudia ili faiza aache kumtukana mitandaoni aliandika mambo ya ovyo sana siwezi kuwa na confidence ya kumdhalilisha ivo ex wangu asee
Awe mzee mara ngapi!?Uzuri bila akili ziumiazo ni sehemu za siri,yeye alizani Mzuri ,kumbe uzuri wa nje,Sugu kaangalia uzuri wa ndani.Akiendekeza ujinga wake atadanga mpaka uzee wake.
ujawai kuona post za uyo dada alivokuwa akimtukana sugu??? afu mshikaji kajinyamazia tu
uyo naye atulize makalio, kwani siku izi malaya akiamua kuzaa ni lazima mwanaume amuoe au alipwe fidia, anataka kufanya vitu ambavyo avina mashiko, kwan faiza amekuwa wa kwanza kuzalishwa? yeye angesemea child supportNi makosa sana kufikiria kumsema vibaya mzazi ama x wako. Leo hii kibamia cha sugu kinamtoa machozi. Kama kweli alimpenda kwanini alimdhalilisha kile? Eti sugu alitaka kumlawiti sasa ama move on iweje Leo alilie penzi la mtu aliyetaka kumlawiti?
Nimeona makonda karusha clip kuwa ndoa ya sugu ndio itakuwa ya kwanza kuingia kwenye database. Huku akijinasibu kuwa ataangalia sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasemaje juu ya faiza kulipwa fidia
Vipi kwako bibie,ulishapona au bado unampendaNi udhaifu mkubwa kumuonesha chozi ex wako!