Tumuombee Faiza Ally, mzazi mwenza wa Sugu, ana maumivu makali sana

Ila ningekuwa na hela ningemuoa huyu dada ni vile tu mm kapuku namkubali saaana huyu mdada ila najua cwez hata kusalimiana nae ,mimi namuombea kwa Mungu
unapenda siku moja aje atutangazie sizes za nyeti zako naona
 
asa maumivu yanatoka wapi alivokuwa akimdhalilisha mwenzie kiasi kile, mara leo kibamia, siri zooote za ndani amwagia mtandaoni sugu angewezaje sasa
 
Aisee iv Ni Mimi na kengeza au vipi,mbona Mimi namwona uso umemkoboka Sana namimi mwanamke wa type iyo kwangu Ni kinyaaa
Mabaharia siku zote huwa na roho ngumu, huyu faiza naona siku hizi kama anatumia mkorogo, siyo kama kipindi akiwa na rais wa mbeya
 
alimtafuta sana kumdhalilisha kijana wa watu nafikiri alijua jamaa atamrudia ili faiza aache kumtukana mitandaoni aliandika mambo ya ovyo sana siwezi kuwa na confidence ya kumdhalilisha ivo ex wangu asee
Kuna uchiz hapo
 
alimtafuta sana kumdhalilisha kijana wa watu nafikiri alijua jamaa atamrudia ili faiza aache kumtukana mitandaoni aliandika mambo ya ovyo sana siwezi kuwa na confidence ya kumdhalilisha ivo ex wangu asee
Ni makosa sana kufikiria kumsema vibaya mzazi ama x wako. Leo hii kibamia cha sugu kinamtoa machozi. Kama kweli alimpenda kwanini alimdhalilisha kile? Eti sugu alitaka kumlawiti sasa ama move on iweje Leo alilie penzi la mtu aliyetaka kumlawiti?

Nimeona makonda karusha clip kuwa ndoa ya sugu ndio itakuwa ya kwanza kuingia kwenye database. Huku akijinasibu kuwa ataangalia sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasemaje juu ya faiza kulipwa fidia
 
Ni makosa sana kufikiria kumsema vibaya mzazi ama x wako. Leo hii kibamia cha sugu kinamtoa machozi. Kama kweli alimpenda kwanini alimdhalilisha kile? Eti sugu alitaka kumlawiti sasa ama move on iweje Leo alilie penzi la mtu aliyetaka kumlawiti?

Nimeona makonda karusha clip kuwa ndoa ya sugu ndio itakuwa ya kwanza kuingia kwenye database. Huku akijinasibu kuwa ataangalia sheria ya ndoa ya mwaka 1971 inasemaje juu ya faiza kulipwa fidia
uyo naye atulize makalio, kwani siku izi malaya akiamua kuzaa ni lazima mwanaume amuoe au alipwe fidia, anataka kufanya vitu ambavyo avina mashiko, kwan faiza amekuwa wa kwanza kuzalishwa? yeye angesemea child support
 
Back
Top Bottom