Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo kwenye Bajaj kwa sasa subiri afike mwisho wa safari yake atakujibu.Huna namkumbuka sana mzee Kingunge aliposema CCM imeishiwa Pumzi.CCM wakatoka na HAPA KAZI TUU.Sasa Hapa kazi tuu,tayari mitaani ,hata watetezi wana mashaka. Sijui mzee yupo wapi tupate KINGUNGE METER.tuechke ktk wese ya bulldozer ipo tena.
Haha..nae shamba lake wamelikimbilia? La sumaye lilipigiwa maktaimu wewee, sijui la mwekezaji,sijui nini,baadae hamu ikawazidi na chuki yao km kawaida wakakimbilia kujaza matamanio yao.Yeye ndo pumzi imekata, haonekani yuko kwenye oxygen tank.
Mkuu ukilelewa na mama ALIYEKUWA MALAYA (Kwake ni kwamba aliufanya kwa kutojua uharamu wake)kesho akiulaani utamwambia haya?Daaah Kingunge yule Mzee wa kupoteza kumbumbu na msahaulifu aliyekuzwa Na tanu badae ccm halafu akawakana wote kuwa hawafai Na hawajamfanyia chochote katika maisha Yake japo ndo wamemfikisha hapo alipo anapoonekana kuwa sehemu ya waheshimiwa.
Amakweli shukrani ya punda mateke.
Kiswahili ni lugha yetu ya taifa inakuwaje kinakushinda ata kuandika sawa garasa wewe.Huna namkumbuka sana mzee Kingunge aliposema CCM imeishiwa Pumzi.CCM wakatoka na HAPA KAZI TUU.Sasa Hapa kazi tuu,tayari mitaani ,hata watetezi wana mashaka. Sijui mzee yupo wapi tupate KINGUNGE METER.tuechke ktk wese ya bulldozer ipo tena.
Sasa km ameitumia kwa kiwango cha juu na hawajamsikia wala kumheshimu.Nani wa kuomba msamaha?Hizi akili bhana, ndio CCM wanadhani wastaafu waliostafu kwa mujibu wa sheria hawawezi pewa stahiki zao bila kuipigia ccm magoti.CCM haiachi jiaibihs abila kukicha jinsi inavyoendesha mchi bila kujua inafanya nini?Mimi namshauri kingunge arudi kuomba msamaha halafu serikari imjari kwa maana amelitumikia taifa kwa kiwango cha hali ya juu.
Wewe unajali sana hilo,kesho ukiwasikia wakuu wa nchi na ccm wakiongea unaweza pata kiswahili kizuri kuliko mimi.Halafu unafurahia vile vile.Waafrica ni wanafiki sana kitaaluma.Kiswahili ni lugha yetu ya taifa inakuwaje kinakushinda ata kuandika sawa garasa wewe.
Haha.Hizo ndio akili za CCM hujuma tuu hawawezi fanya kazi halali. Ndio maana hawawezi fanya dili mezani wasipigwe au waibe kibabe.Kingunge walimfungia mradi wake wa maji safi sijui kama walishauachia, kipindi kile akakimbiana kwake kabisa. Pia ana dili nyingi sana yeye na Edo na RA hasa kwenye kampuni za ujenzi. Bora aendelee kukaa kimya amalizie uzee wake, kushindana na watoto usawa huu sio kabisa
Haha...Katika kujifundisha gari nadhani toka zije gari za automatic imekuwa rahisi mno lakini ugumu umebakia pale pale kurudisha nyuma reverse) na kuiparking gari ukimujuwa humo ndio mwanzo wa wepesi kuifahamu gari nadhani wasomi wamenifahamu vizuuri