kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,307
- 12,602
- Thread starter
- #21
Kwani ambao hawakujenga barabara na wamekula hizo hela zenu za kodi mmewafanya nini? Na yeye kama asingejenga bwawa la umeme mngemfanya nini? Wacha ujinga na chuki. Mzee nyerere rip alitumia kodi zetu kukombolea bara la Afrika mmemfanya nini? Wakati wa mzee JK kulikuwa na Richmond, Escrow mlimfanya nini?Umasikini na ufinyu wa fikra unawafanya mataga wengi waone kujengewa miundombinu na serikali ni kama fadhila kwao yani kitu ambacho hawakustahili..kwa kifupi wanasiasa huomba kura ili wayafanye hayo so niwajibu wao kutekeleza maana fedha zinatoka kwa wananchi sio mifukoni mwao..ebu ficha ujinga wako.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app