measkron
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,782
- 2,406
unataka aenziwe akishakufa? hebu acha wivu wa kike..
mkjj, how dare u forget airport mpya ya bagamoyo, nyumbani kwao! na kwa vile mtm amesuggest olympic team iitwe ridhiwan kikwete, basi walau mama salma aenziwe kwenye hii ya bagamoyo kwa uthubutu na umahiri wake wa kum-support baba mdogo wa taifa hili changa.
kwa sababu dr jk aliahidi na kutimiza ahadi yake ya bajaj kwa ajili ya wamama wajawazito, pengine zinaweza kuitwa saint kikwete ambulance (mbona kuna st john's?)
Mkuu hapo kwenye bajaji kwa wajawazito imenikumbusha nimepita shinyanga mwezi wa saba nikapata habari ya pikipiki bajaji iliyokuwa inampeleka mgonjwa kupinduka na dereva kupata majeraha, kwenda bugando nikamkuta driver nursing his wounds surgical ward.