johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,716
- 141,579
Waziri wa afya Ummy Mwalimu amesema ni marufuku kwa mtu yeyote kutangaza majina ya wagonjwa wa corona kwani hiyo ni siri kati ya Daktari na mgonjwa.
Waziri amesema kutaja taja majina kunaleta unyanyapaa kitu ambacho ni kibaya sana mbele ya jamii na mbele za Mungu. Na zaidi Ummy amesema ndio maana hata yeye na mwenzie Hamad wa Zanzibar huwezi kuwasikia wakitaja majina zaidi ya yale ya Isabela, Mwana FA na Sallam ambao walijitangaza wenyewe.
Waziri Ummy amesema ni marufuku pia mtumishi yeyote wa Serikali kutoa takwimu na taarifa za wagonjwa wa Corona zaidi ya yeye Waziri, Waziri mkuu na Rais mwenyewe.
Source ITV habari!
Waziri amesema kutaja taja majina kunaleta unyanyapaa kitu ambacho ni kibaya sana mbele ya jamii na mbele za Mungu. Na zaidi Ummy amesema ndio maana hata yeye na mwenzie Hamad wa Zanzibar huwezi kuwasikia wakitaja majina zaidi ya yale ya Isabela, Mwana FA na Sallam ambao walijitangaza wenyewe.
Waziri Ummy amesema ni marufuku pia mtumishi yeyote wa Serikali kutoa takwimu na taarifa za wagonjwa wa Corona zaidi ya yeye Waziri, Waziri mkuu na Rais mwenyewe.
Source ITV habari!