OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,080
- 103,312
Kama Mbowe anasema wavae barakoa kwanini wasimsikilize , Maana wewe unamsikiliza mtu anayesema barakoa za nini tambua kuna siku atasema condom za nini. Na wewe ulivyo mjinga utasema kweli.Wewe kwa akili yako na msimamo wenu wa kichadema wa kujilockdown si huwa unamsikiliza Mbowe au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kwanini msiemdelee kufuata wereevu wa Mbowe?Kama Mbowe anasema wavae barakoa kwanini wasimsikilize , Maana wewe unamsikiliza mtu anayesema barakoa za nini tambua kuna siku atasema condom za nini. Na wewe ulivyo mjinga utasema kweli.
Kumsikiliza mtu sio tatizo, tatizo ni kufata Ujinga wake
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu ni hasara Tu taifa kama weweWewe kwa akili yako na msimamo wenu wa kichadema wa kujilockdown si huwa unamsikiliza Mbowe au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haijulishi utamsikiliza nan,ukiukwaa ww na familia yako mtapambana na hali zenu, tuwe Makin Corona ipo.
Jibu swali kwanza mbona unakurupuka?Wewe kwa akili yako na msimamo wenu wa kichadema wa kujilockdown si huwa unamsikiliza Mbowe au?
Sent using Jamii Forums mobile app