Kumbe na wewe hauna akili kama Gwajima? Umeandika utopolo mtupu! Kwanza hizo chanjo hazidhuru DNA kama wewe na Gwajiboy mnavyowadanganya watu.
Chanjo ya COVID-19 haibadili au kuingiliana na DNA yako kwa njia yoyote. Chanjo zote za mRNA na virusi vya virusi vya COVID-19 hutoa maagizo kwa seli zetu ili kuanza kujenga kinga dhidi ya virusi vinavyosababisha COVID-19. Lakini, nyenzo hizo haziingii kamwe kwenye kiini cha seli, ambayo ndio huhifadhiwa DNA yetu.
Pia Gwajima anasema hiyo COVID-19 itaisha yenyewe na hataki mwananchi yeyote apate chanjo. Hilo la kusema zipimwe “chemicals” zake, ni kama tu tayari keshaaminisha watu kuwa chanjo ni mbaya na kuzipima ni ili kusapoti hoja yake. Labda angesema zipimwe kwanza ndiyo maamuzi yafanyike, lakini yeye anaongea as if tayari keshafahamu kuwa chanjo ni mbaya. Angeacha kauli ambayo imeshatewa kuwa chanjo ni hiyari na siyo lazima. Lasivyo atakuwa responsible kwa watakaopoteza maisha yao kwasababu ya vitisho vyake.
Kuna wale wanaosema kuwa chanjo haizuii kupatwa tena na COVID-19. Ni kweli, lakini imetokea zaidi kwenye wimbi hili la “Delta variant”, hata hivyo, chanjo bado inasaidia wale waliochanjwa wasipate madhara makubwa yanayosababishwa na virusi hivyo ikiwemo kupelekwa hospitali na hata kupoteza maisha yao.
Muwe munajishughulisha kufanya viji “research” vidogo vidogo ili kuweza kuelewa jambo badala ya kukurupuka tu.
Haya kwa kuwa tunakupenda, angalia na huyu hapa. Kamab vipi, kwa kuwa mnaweza, waueni wote mkiwamaliza, mwende na mataifa mengine yanayopinga hiki kitu, nao muwaue, mbaki ninyi na billgates peke yenu.