Tumshauri Zitto...

Status
Not open for further replies.

Sir R

JF-Expert Member
Oct 23, 2009
2,175
298
Zitto anahitaji kushauriwa kuwa kama anapenda kuwa mwana CDM kwa dhati, afanye mambo yafuatayo:
  1. Awaheshimu viongozi wake.
  2. Akemee wana CCM wanaotamani CDM kusambaratika.
  3. Aheshimu chama chake kama ambavyo kina Mwigulu wanavyokuwa watiifu kwa CCM yao.
  4. Awe makini na wanaomsifia hasa vyombo vya CCM na serikali
  5. Awaambie watanzania kuwa yeye si zaidi ya chama;

Mengine mnaweza kuongeza.
 
Muulize Zito, hiki anachokifanya hata mwenyewe hakijui, ila Kwa Sababu kinaratibiwa from pai-Zone Hana budi kukifanya tu.. Hata ukimshauri too late.. Hata Hotuba anaandaliwa from pai-Zone. Anahitaji kuhuruniwa zaidi .

Chadema hawapigani Na ZITTO, Kuna maelfu ya mijitu yenye Akili inamchezesha to Kama game la laptop. Ukiisoma Hotuba yake haina Kichwa wala mkia, hushangai tokalini Zitto akaandikiwa hotuba.. Jiulize..
 
Akifanya anachokita atapotea mazima.

Na atapotea na wengi
 
Muulize Zito, hiki anachokifanya hata mwenyewe hakijui, ila Kwa Sababu kinaratibiwa from pai-Zone Hana budi kukifanya tu.. Hata ukimshauri too late.. Hata Hotuba anaandaliwa from pai-Zone. Anahitaji kuhuruniwa zaidi .

Chadema hawapigani Na ZITTO, Kuna maelfu ya mijitu yenye Akili inamchezesha to Kama game la laptop. Ukiisoma Hotuba yake haina Kichwa wala mkia, hushangai tokalini Zitto akaandikiwa hotuba.. Jiulize..

Sikujua hili la kuandikiwa hotuba.

Zitto ajue CCM wanampoteza jumla.

Zitto jiulize wako wapi hawa:
  1. Walid Kabour
  2. Lamwai
  3. Mtela
  4. Juliana
  5. Tambwe
  6. Shitambala
Walikuwa wazuri wakiwa CDM lakini leo wako wapi , ogopa kusifiwa na adui wako.
 
Muulize Zito, hiki anachokifanya hata mwenyewe hakijui, ila Kwa Sababu kinaratibiwa from pai-Zone Hana budi kukifanya tu.. Hata ukimshauri too late.. Hata Hotuba anaandaliwa from pai-Zone. Anahitaji kuhuruniwa zaidi .

Chadema hawapigani Na ZITTO, Kuna maelfu ya mijitu yenye Akili inamchezesha to Kama game la laptop. Ukiisoma Hotuba yake haina Kichwa wala mkia, hushangai tokalini Zitto akaandikiwa hotuba.. Jiulize..

ZItto kajiunga na kundi linalowaka moto CCM. CCM wmenye akambi mbaya nyingi sana hadi hawakumbuki.Nyingine sasa zinawapeleka km Zombies.
 
Zitto anahitaji kushauriwa kuwa kama anapenda kuwa mwana CDM kwa dhati, afanye mambo yafuatayo:
  1. Awaheshimu viongozi wake.
  2. Akemee wana CCM wanaotamani CDM kusambaratika.
  3. Aheshimu chama chake kama ambavyo kina Mwigulu wanavyokuwa watiifu kwa CCM yao.
  4. Awe makini na wanaomsifia hasa vyombo vya CCM na serikali
  5. Awaambie watanzania kuwa yeye si zaidi ya chama;

Mengine mnaweza kuongeza.
mbona viongozi wa chadema wameshindwa kumweshimu zitto?
 
atakua na political fate mbaya sana...enzi za ukombozi south winnie mandela alikua akiwafunga tairi na kuwachoma moto wasaliti...hapa atafugwa tairi la moto wa kisiasa
 
mbona viongozi wa chadema wameshindwa kumweshimu zitto?

Nani asiyemheshimu Zitto?

Kivipi?

Najua wewe ni mwana CCM kwa vyovyote wewe ni mzigo ndio maana huna hoja.
 
kweli ndio naamini zitto ananguvu sana, maana kateka fikra za watu. Angekuwa si mtu mwenyenguvu asingesumbua vichwa vya watu kila siku kumjadili. Hivi angekuwa zitto ndo ben saanane, au yeriko nyerere watu wangesumbua vichwa kupost hum jf kama watu wanavyofanya kwa zitto? Huenda wengi wasinge juwa kinachoendelea.
 
Sikujua hili la kuandikiwa hotuba.

Zitto ajue CCM wanampoteza jumla.

Zitto jiulize wako wapi hawa:
  1. Walid Kabour
  2. Lamwai
  3. Mtela
  4. Juliana
  5. Tambwe
  6. Shitambala
Walikuwa wazuri wakiwa CDM lakini leo wako wapi , ogopa kusifiwa na adui wako.

hapo kuna wa kumfananisha na zzk?
 
kweli ndio naamini zitto ananguvu sana, maana kateka fikra za watu. Angekuwa si mtu mwenyenguvu asingesumbua vichwa vya watu kila siku kumjadili. Hivi angekuwa zitto ndo ben saanane, au yeriko nyerere watu wangesumbua vichwa kupost hum jf kama watu wanavyofanya kwa zitto? Huenda wengi wasinge juwa kinachoendelea.

Ndio mnaomvimbisha kichwa.

Nimekupa list walijadiliwa kama yeye lakini hawakusikia, wakatimkia CCM, unawasikia siku hizi.?
 
Nani asiyemheshimu Zitto?

Kivipi?

Najua wewe ni mwana CCM kwa vyovyote wewe ni mzigo ndio maana huna hoja.

Usipoteze muda kuwajibu wafuatao.
1. mwa 4
2.maringo7
3.mageti6
4.ritz

Chunguza hizo id zao. fanananisha na post zao hapa jf.
 
Zitto anahitaji kushauriwa kuwa kama anapenda kuwa mwana CDM kwa dhati, afanye mambo yafuatayo:
  1. Awaheshimu viongozi wake.
  2. Akemee wana CCM wanaotamani CDM kusambaratika.
  3. Aheshimu chama chake kama ambavyo kina Mwigulu wanavyokuwa watiifu kwa CCM yao.
  4. Awe makini na wanaomsifia hasa vyombo vya CCM na serikali
  5. Awaambie watanzania kuwa yeye si zaidi ya chama;

Mengine mnaweza kuongeza.
Hela hizo za mafisadi magamba zinafanya kazi ndio maana dogo anakiburi.
 
Usipoteze muda kuwajibu wafuatao.
1. mwa 4
2.maringo7
3.mageti6
4.ritz

Chunguza hizo id zao. fanananisha na post zao hapa jf.

Isijenashughulika na mzigo mmoja wa CCM.

Wote hawa ni Mizigo hapa JF
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom