Jana kulikuwa na mpambano mkali wa ngumi baina ya Anthony Joshua na Ruiz Jr. Yeyote aliyeshuhudia pambano hilo aliona jinsi Anthony Joshua alivyokuwa anakwepa staili ya kuegemea kamba.
Kila Ruiz alipojaribu kumpeleka kwenye kamba alikuwa mara zote anakwepa. Hili liwe funzo kwa bondia Makwinyo kuwa staili ya kugemea kamba wakati wa pambano la ngumi ni staili isiyo na tija.
Nakubaliana na ushauri wa Matumula kwa Mwakinyo kuwa ajihadhari wakati wa pambano asiwe mara nyingi anaegemea kamba hii inampa bondia mwenzake kupata nafasi ya kumpiga na hivyo kuendelea kuzoa pointi.
Kila Ruiz alipojaribu kumpeleka kwenye kamba alikuwa mara zote anakwepa. Hili liwe funzo kwa bondia Makwinyo kuwa staili ya kugemea kamba wakati wa pambano la ngumi ni staili isiyo na tija.
Nakubaliana na ushauri wa Matumula kwa Mwakinyo kuwa ajihadhari wakati wa pambano asiwe mara nyingi anaegemea kamba hii inampa bondia mwenzake kupata nafasi ya kumpiga na hivyo kuendelea kuzoa pointi.