Katibu Tarafa
JF-Expert Member
- Feb 16, 2007
- 989
- 54
Napenda kutoa changamota kwa wana JF tusaidie huyu msanii kupanga upya kijiwe chake kipya kwa kupendekeza majina na nafasi ya uwaziri.
I hope hatotumia mawaziri wa zamani tena jamani. Kwani Tz hakuna wataalamu wanaojua wanachokifanya? Vyuo vya Tz vimejaa watu wana PHD zao wasomi, mawizara yamejaa watu waliosoma wanaoipenda nchi yetu, wanaojua unyama wa wazungu ni nini, kwa nini tu wasipewe fursa na wao wakaendesha hii nchi! kwani ni lazima wawe na majina tuliyozoea kuyasikia tangu uhuru wa Tanganyika? Hebu aanze upya, na watu wapya kabisa wasiokuwa na ties zozote, ili tuone sasa haya malalamiko yetu yatachukuliwaje na utendaji wao wa kazi utakuwaje.Lakini akirudi kuchanganya tu the same people kuwahamisha kutoka wizara moja kwenda nyingine, mambo ni yale yale tu hakuna litakalobadilika kwa kweli.
Basi tufanye hivi katika kupata mawazo hayo:
To assume kuwa Baraza linapunguzwa na kuwa na wizara 21 au 22 (toka 30)
Makundi Matatu:
NANI ATOKE: (Watakaoungana na walioujiuzulu)
- Lowassa
- Karamagi
- Msabaha
-
NANI ARUDI (Anayeungana na Pinda) NA WIZARA
- Pinda
NANI AINGIE: (Sura mpya) NA WIZARA
-
Basi tufanye hivi katika kupata mawazo hayo:
To assume kuwa Baraza linapunguzwa na kuwa na wizara 21 au 22 (toka 30)
Makundi Matatu:
NANI ATOKE: (Watakaoungana na walioujiuzulu)
- Lowassa
- Karamagi
- Msabaha
-
NANI ARUDI (Anayeungana na Pinda) NA WIZARA
- Pinda
NANI AINGIE: (Sura mpya) NA WIZARA
-
Nadhani hata Kapuya apewe nafasi zaidi ya kusimamia migodi yake kuliko public service.
Nafikiri hapa JK kapata nafasi ya kupeleka ujumbe kwa wale wote walikuwa wababe na wenyekuyumbisha maamuzi ya serikali.
Wanaotakiwa kuondoka:
Mramba -jeuri na yaliyotokea BOT yanatosha kumwondoa.
Megheji- kudaganywa haitoshi kuvunja uadilifu/kanuni za kazi na kusema hatajiuzulu inatosha kumwondoa.
Chiligati- kubadilisha kauli za serikali kuhusu mishahara ya wafanyakazi na kusababisha migogoro kazini na kupelekea taifa kupata hasara kutokana na migogoro kazini inatosha kuondoka.
Wazee sana- michango yao inatosha kwani mawazo mapya yanahitajika.
Ngasongwa- kwa kauli ya kusema mfumko wa bei unasababishwa na uhaba wa chakula huu ni usanii kwa msomi kutoa kauli hiyo pia aondoke.
Chenge- kwa ujanja wake wakuacha majukumu yake na kujishughulisha na kutumia ujuzi wake wa sheria kuzuia miswada yenye masilahi ya taifa naye aondoke.
Basi tufanye hivi katika kupata mawazo hayo:
To assume kuwa Baraza linapunguzwa na kuwa na wizara 21 au 22 (toka 30)
Makundi Matatu:
NANI ATOKE: (Watakaoungana na walioujiuzulu)
- Lowassa
- Karamagi
- Msabaha
-
NANI ARUDI (Anayeungana na Pinda) NA WIZARA
- Pinda
NANI AINGIE: (Sura mpya) NA WIZARA
-
(a) Apunguze ukubwa wa serikali kwa kuunganisha baadhi ya wizara. Waziri yoyote aliyewahi kuwamo serikalini kabla ya 1990 nadhani mchango wake unatosha; aruhusu freshmen nao watumikie.
(b) Vile vile awaondoe wababaishaji wa elimu wote, wanaleta mfano mbaya kwa watoto wetu:
- Mary Nagu
- Makongoro Mahanga
- Deodorus Kamala
- Emmanuel Nchimbi
- Dialo Mwandu
- Mathayo David
(c) Vile vile aondoe hawa walioshindwa kutekeleza majukumu yao sawasawa:
- Zhakia Meghji <- huyu anaweza kutolewa kwa kigezo cha (a) hapo juu.
- Peter Msola
- Hawa Ghasia
- Andrew Chenge
(d) Awarudishe bila mkwara jamaa hawa:
- Shukuru Kawambwa
- Pombe Makufuri
matamanio: jumla ya mawaziri+manaibu isizidi 25.
hali halisi: watazidi 40. biashara kama kawa.
Lazima tupate Mabilionea 100 ifikapo 2015, kwa sasa tumeshapata karibu 20 kupitia siasa, bado 80.
Mwakyusa arudishwe aendeleze kazi ya kuirekebisha wizara ya Afya. apunguze upole. Wizara ziunganishwe.
Natabiri Manaibu wengi kuwa mawaziri kamili