Bob swagger
Member
- Jan 16, 2020
- 42
- 54
Juzi alikuja kijana mmoja mbaye tunafahaminiana sana alinikuta nikiwa nimepumzika karibu na ofisi yangu ya kazi alikuja akiwa na huzuni sana.
Nikamuuliza vipi mbona uko hivyo akanijibu kaka mapenzi yananitesa nikamuuliza kivipi akaanza kunisimulia.
Ujue nimetokea kumpenda msichana mmoja tatizo kubwa nililokua nalo kila nikimwita ataki kunijibu na nikimsalimia ajibu yeye yupo kimya 2 nifanyaje ili aweze kunijibu kaka ata salamu yangu .
Haya wazee wa mistali konzi weka ushauri kwa dogo.
Nikamuuliza vipi mbona uko hivyo akanijibu kaka mapenzi yananitesa nikamuuliza kivipi akaanza kunisimulia.
Ujue nimetokea kumpenda msichana mmoja tatizo kubwa nililokua nalo kila nikimwita ataki kunijibu na nikimsalimia ajibu yeye yupo kimya 2 nifanyaje ili aweze kunijibu kaka ata salamu yangu .
Haya wazee wa mistali konzi weka ushauri kwa dogo.