Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Dawa pekee iliyogumduliwa ni nyungu chini ya ufundi wa malaika mkuuHivi nchi hii na watafiti wetu wanaofanya uchunguzi kujiridhisha hivi kuna dawa yoyote katika pharmacy zetu nchi nzima imeshawahi kugunduliwa hapa nchini na kupitishwa kwa matumizi ya binadamu? nauliza serious sio kama dhihaki hapana nataka kujuwa tu.