IROKOS
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 10,184
- 7,819
Worst speaker.... Hana msimamo na ni bendera fuata upepo. Kipindi chake bunge limeyumbishwa vibaya sana na kuwa sehemu ya serikali badala ya kuisimamia serikali....Ndugai emetoa msimamo wake na Kama una kumbukumbu nzuri aliwahi kusema hata kabla mpendwa wetu hajafa na ndio alipewa majibu na sababu za mSingi zilizopelekea mradi kusitishwa .Sasa Mimi nafikiri ameamua kukumbushia maoni yake pengine kwa sababu Rais ni mpya huenda akalifanyia kazi hilo suala.
Kwa upande wangu naona spika ndugai yeye sio katika wale kundi la wanafiki sababu amesimamia alichokiamini tangu enzi za mpendwa wetu.
Mimi kwa mtazamo wangu kuhusu bandari mkataba uwekwe wazi halafu tuangalie Kama haufai ufanyiwe marekebisho dosari zake.