Tumpongeze Waziri Mkuu Kassim Majaliwa anatupa matumaini

Waziri wa madini

JF-Expert Member
Jun 12, 2019
379
465
Kwa ushujaa wa hali ya juu Mh.Kassim Majaliwa ameturudisha katika Imani yetu juu ya serikali yetu.Imani ambayo ilikuwa ishaanza kupotea baada ya baadhi ya viongozi wa ngazi za juu kuanza kubadilika kifikra na matamshi kipindi kifupi tu baada ya kuondoka mpendwa wetu.

Wengi wetu tulianza kuamini mazuri aliyoyafanya mpendwa wetu yanaenda kufutwa,wengi tuliamini tunarudishwa enzi zile za ukanjanja .

Katikati ya wanafiki ameibuka kiongozi shujaa ambaye ametuahakikishia kuwa kura zetu mwezi October hazijapotea ,kiongozi ambaye ametuahakikishia kuwa uongozi wa awamu ya sita utaendeleza mema yote ya awamu iliyopita, kiongozi ambaye ameamua kupambana na wapinga maendeleo ambao kwa makusudi wameamua kumchafua mpendwa wetu.

Tuna kila sababu ya kushukuru Mungu amesikia kilio chetu .

Watanzania tunampenda Magufuli na kumchafua mpendwa wetu Wala hakusaidii kitu bali kunafanya watu wazidi kumpenda na kunafanya watu waichukie serikali yao.

Nashkuru chama Cha mapinduzi na uongozi wake wameona madhara makubwa ambayo yangetokea kwa kukaa kimya na kuridhia mpendwa wetu atukanwe.

Nashukuru Serikali kupitia Waziri Mmkuu wameona Umuhimu wa kumtetea na kumsemea mpendwa wetu ambaye alijitolea kwaajili yetu.

Sisi watanzania tunaimani na Wewe Waziri mkuu tunataka miradi iendelezwe,tunataka rushwa idhibitiwe Kama mwanzo,tunataka madawa ya kulevya yadhibitiwe Kama mwanzo,tunataka wanyonge wathaminiwe Kama mwanzo.

Amani na salama Mungu atudumishie katika nchi yetu.
 
Ni upi msimamo wenu kuhusu kauli ya Ndugai juu ya mradi Wa Bandari Bagamoyo ambayo Meko alikuwa anaupinga?
 
Ni upi msimamo wenu kuhusu kauli ya Ndugai juu ya mradi Wa Bandari Bagamoyo ambayo Meko alikuwa anaupinga?
Ndugai emetoa msimamo wake na Kama una kumbukumbu nzuri aliwahi kusema hata kabla mpendwa wetu hajafa na ndio alipewa majibu na sababu za mSingi zilizopelekea mradi kusitishwa .

Sasa Mimi nafikiri ameamua kukumbushia maoni yake pengine kwa sababu Rais ni mpya huenda akalifanyia kazi hilo suala.

Kwa upande wangu naona spika ndugai yeye sio katika wale kundi la wanafiki sababu amesimamia alichokiamini tangu enzi za mpendwa wetu.

Mimi kwa mtazamo wangu kuhusu bandari mkataba uwekwe wazi halafu tuangalie Kama haufai ufanyiwe marekebisho dosari zake.
 
Hata kwa ile kauli ya "ni mzima na anachapa kazi ikulu" nayo tumpongeze

Odhis *
Mama yenu alivyokuwa Tanga mbona aliwapa salamu za mh na akasema rais anawasalimia mchape kazi,ila yeye hamtaki kumtaja katika hilo.Mumemshupalia Majaliwa Kana kwamba yeye ndiye pekee aliyetoa taarifa ya Magufuli wakati anaumwa.
 
Anaepandisha mabega akizinguliwa asianze kutafuta mchawi
Yeye mwenyewe ajiandae kisaikolojia sababu watu wanamtazama Sana mwenendo wake akijichanganya bunge litafanya yake tuingie ktk election.Nchi hii inaendeshwa kwa Sheria ukipuyanga jiandae kuwekwa pembeni.Hatutaki kurudishwa utumwani.
 
Yeye mwenyewe ajiandae kisaikolojia sababu watu wanamtazama Sana mwenendo wake akijichanganya bunge litafanya yake tuingie ktk election.Nchi hii inaendeshwa kwa Sheria ukipuyanga jiandae kuwekwa pembeni.Hatutaki kurudishwa utumwani.
Wa Tanzania tupo na mama, Hata upinzani wanamuunga mama saizi, Kuna mapandikizi ya mabeberu ambao wanampinga mama, hawa mawakala wa mabeneru kama wewe mnataka kuleta vurugu hii nchi, Rais ana nguvu sana kuliko mnavyodhani maana katiba imempa nguvi kubwa mno, Sasa ngoja watu wajifanuw wajuaji 😂😂 na uzuri mama anapata ushauri safi tu kutoka kwa watu wajanja wa hizi vitu kama kina kikwete,.

Sasa nasemaje , Asiesikia la mkuu huvunjika guu, Kuna ambush utafanyika siku moja hawa mapandikizi wa mabeberu wanaomkataa mama hawatakuja kusahau.

Nani kama mama, Tupo na Mama, mkiona hapatoshi ingieni barabarani mpigwa kipigo cha mbwa koko 😂😂
 
Wewe mwenyewe mpinzani umekosa Sera now umekuwa chawa wa Mama . Nyerere aliwahi sema ukiona adui wako anakushangilia ujue kunamahala umekosea.Mama yenu kinyoga huyo atabiriki nyota yake ya upepo mtamkataa mbeleni huko.
Dah jamaa unaongea ujinga huku ukiandika kwa tabu sana. Unaonaje utuache na mama yetu kwanza ukajifunze kuandika?
 
Dah jamaa unaongea ujinga huku ukiandika kwa tabu sana. Unaonaje utuache na mama yetu kwanza ukajifunze kuandika?
Sidhani Kama tupo katika mashindano ya mwandiko.Unapaswa kunishukuru kwa sababu unaelewa kinacho andikwa na umepata fursa ya kuchangia katika mada hii japo mchango wako ni wa kipuuzi.
 
Umauti ni haqq ata yeye mwenyewe alikiri hilo kuwa ipo siku atakufa, hongera kwako utaiyeishi milele .
Kuna baadhi ya watu kwa roho mbaya zao,hasadi na chuki dhidi ya hayati Magufuli wana furahia kifo chake mpaka Wana kufuru.Tusijisahau sote tutakufa jamani na mbaya zaidi hatujui siku Wala saa.
 
Wewe mwenyewe itakuwa ni mpinzani umeona umekosa Sera now umeamua kuwa chawa wa Mama . Nyerere aliwahi kusema ukiona adui yako anakushangilia ujue kuna mahala umekosea.Mama yenu kinyonga huyo hatabiriki nyota yake ni ya upepo mtakuja kumkataa mbeleni huko.
Hamuitakii mema nchii hii nyie vibaraka wa mabeberu, Saizi tunarudi enzi za kikwete, Freedom of speech, wawekezaji kuwekeza nchini, kodi kulipwa bila mabavu, n.k

Huyu mama waTanzania tunavyompenda 🔥🔥🔥, sasa ole wenu siku akili ziwatoke muingie barabarani, 😂😂😂 hio chapo hadi mtafurahi.

Ni naniii kama mamaaaaa!!!
 
Mama yenu alivyokuwa Tanga mbona aliwapa salamu za mh na akasema rais anawasalimia mchape kazi,ila yeye hamtaki kumtaja katika hilo.Mumemshupalia Majaliwa Kana kwamba yeye ndiye pekee aliyetoa taarifa ya Magufuli wakati anaumwa.
Viongozi wa Bongo karibu wote waongo.

Uongo ni sifa ya kuwa kiongozi.

Usipokuwa muongo kuwa kiongozi Bongo ni nadra sana.
 
Kaufukueni ule mzoga wake muwe mnausujudia pale bungeni ,nyau wa kisukuma nyie
Hivi kila mtu anayeekeza mazuri ya mwendazake ni msukuma?kumbuka kila mtu ana uhuru wa kuongea anachojisikia lkn hasivunje sheria.Jaribu kufikiria kwa kutumia ubongo na sio mku..du.
 
Hata kwa ile kauli ya "ni mzima na anachapa kazi ikulu" nayo tumpongeze

Odhis *
Tena msikitini.... Watanzania ni rahisi sana kuwatawala, hasa ukiwaita WANYONGE, yaani wanafurahiii ile mbaya na kusema kiongozi ndiyo huyu....
 
Back
Top Bottom