Tumpongeze Rais Magufuli kwa ushauri wake kwa Benki ya Dunia na IMF. Viongozi wengine Afrika wamuunge mkono

Wacha kujidhalilisha wewe, sisi hatuwezi kuomba msaada maana sisi ni matajiiiriiii sana
Napenda nizungumzie kipengele kimoja muhimu sana katika Hotuba ya Rais Magufuli jana alipokua akiongea na vyombo vya ulinzi na usalama ,halikadhalika akiongea na taifa kuhusiana na ugonjwa wa corona unaosababishwa na virus COVID-19.

Siwezi rudia yote aliyozungumza kwani yako wazi kabisa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kwa ujumla.

Rais Magufuli aliombwa na baadhi ya wadau mitandaoni aongee na Taifa wengi wakisema kajificha katelekeza nafasi yake anatakiwa atoke hadharani aseme neno, na jana kasema kama baadhi yetu walivyotaka iwe.

Bahati nzuri au mbaya kumbe wanaotaka aseme neno huwa wanataka aseme kile kinachowapendeza wao, na kwa kujua hilo Rais kashambuliwa na walewale waliotaka aseme neno kwa Taifa.

Napenda kwa upande wangu niongelee kipengele kimoja ambacho ni muhimu sana baadhi yetu tunakipotezea na kuangalia upande ambao utafaa kumshambulia.

Nakumbuka alizungumzia jinsi ya kujikomboa kiuchumi kutokana na gonjwa la Corona.

Rais Magufuli kaziomba taasisi za fedha za kimataifa (WB na IMF) kuangalia namna ya kuzisaidia nchi za Afrika, kwa aidha kuzifutia madeni au kuangalia namna ya kupitia upya riba za madeni hayo, kwa maana ya kuzipunguza badala ya kuruhusu nchi hizo kukopeshwa tena,(japo ni jambo jema) ikiwa na maana ya kurundikiwa madeni tena wakati hakuna shughuli za uzalishaji mali (kiuchumi)kama ilivyokua kabla ugonjwa huu.

Nafikiri ni kiongozi wa kwanza barani Afrika kutamka maneno haya yenye mantiki sana ispokuwa hayapewi kipaumbele.

Kauli hii ilinipendeza sana kwani Rais alilenga fedha hizo tulipazo madeni zitumike kama sehemu ya tafiti vifaa kinga na tiba kwa mataifa haya maskini. Ni jambo la kupongezwa sana kwa rais.

Imani yangu ujumbe huu usambae Afrika nzima na upigiwe chapuo na viongozi mbalimbali wa bara hili la Afrika kwani umoja ni nguvu.

Na kwa bahati nzuri leo ni kama nimesikia counselor wa ujerumani bibi Angel Markel kaungana na kauli hii ya muheshimiwa rais,kasema iko haja ya kufanya hivyo.

Nitoe wito kwa watanzania, Rais Magufuli ana nia njema kabisa na Taifa hili kadhalika Afrika kwa ujumla tumtunze tumuenzi, ni viongozi wachache sana Afrika wenye maono kama yake ya kutaka nchi au Afrika kwa ujumla iache utegemezi kama sio kuacha basi ipunguze kwa kiwango kikubwa utegemezi na hapo ndio uhuru kamili unapopatikana .

Ni mimi kapera mlima matikiti Lyangoko Makande,
Kwa maoni tuwasiliane kwa namba hii

0737 169 611

In God we Trust
 
Mkuu, wamesikiaje wakati anawaombea nchi masikini (alishawahi kusema sisi sio nchi masikini!) hawakupeleka ombi hilo kama umoja wa masikini?? Tulisikia SADC ikioomba nchi za magharibi ziondoe vikwazo kwa Zimbabwe - unaweza kutoa mrejesho ombi hilo lilifanywaje? Au ni kuongea na waandishi wa habari halafu inakuwa basi?

Unawaombaje wakusamehe deni wakati wa ghafla ya kuapisha na kutoa taarifa za korona?? Sisi hatuwezi kuchukuliwa kama tumeathiriwa na korona kwa sababu hatujasimamisha uzalishaji waka kuweka mazuio yanayoathiri uchumi. Inakuwaje tunaitumia korona kama sababu ya kusamehewa madeni? Nikukumbushe hapa Kenya, Rwanda wamefaidika na kuahirisha ulipaji wa madeni yao, kwanini sio sisi pia? Huoni alipaswa kuongea na wawakilishi wa wadai nchini? Hivi wakisema hawakupata structure ya msamaha unaoombwa watakosea??

Ninajiuliza tu kwa sauti!!
Naisubiri sana mwezi wa kumi ili nione udhibitisho wa ujinga wa mtanzania,Mungu nisaidie
 
Siyo wazo lake! Limeshazungumzwa na mashirika yasiyokuwa ua kiserikali (Oxfam, Action Aid) na tayari wenzake wameshazungumza na wakuu wa WB na IMF!
 
Siyo wazo lake! Limeshazungumzwa na mashirika yasiyokuwa ua kiserikali (Oxfam, Action Aid) na tayari wenzake wameshazungumza na wakuu wa WB na IMF!
 
Napenda nizungumzie kipengele kimoja muhimu sana katika Hotuba ya Rais Magufuli jana alipokua akiongea na vyombo vya ulinzi na usalama ,halikadhalika akiongea na taifa kuhusiana na ugonjwa wa corona unaosababishwa na virus COVID-19.

Siwezi rudia yote aliyozungumza kwani yako wazi kabisa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kwa ujumla.

Rais Magufuli aliombwa na baadhi ya wadau mitandaoni aongee na Taifa wengi wakisema kajificha katelekeza nafasi yake anatakiwa atoke hadharani aseme neno, na jana kasema kama baadhi yetu walivyotaka iwe.

Bahati nzuri au mbaya kumbe wanaotaka aseme neno huwa wanataka aseme kile kinachowapendeza wao, na kwa kujua hilo Rais kashambuliwa na walewale waliotaka aseme neno kwa Taifa.

Napenda kwa upande wangu niongelee kipengele kimoja ambacho ni muhimu sana baadhi yetu tunakipotezea na kuangalia upande ambao utafaa kumshambulia.

Nakumbuka alizungumzia jinsi ya kujikomboa kiuchumi kutokana na gonjwa la Corona.

Rais Magufuli kaziomba taasisi za fedha za kimataifa (WB na IMF) kuangalia namna ya kuzisaidia nchi za Afrika, kwa aidha kuzifutia madeni au kuangalia namna ya kupitia upya riba za madeni hayo, kwa maana ya kuzipunguza badala ya kuruhusu nchi hizo kukopeshwa tena,(japo ni jambo jema) ikiwa na maana ya kurundikiwa madeni tena wakati hakuna shughuli za uzalishaji mali (kiuchumi)kama ilivyokua kabla ugonjwa huu.

Nafikiri ni kiongozi wa kwanza barani Afrika kutamka maneno haya yenye mantiki sana ispokuwa hayapewi kipaumbele.

Kauli hii ilinipendeza sana kwani Rais alilenga fedha hizo tulipazo madeni zitumike kama sehemu ya tafiti vifaa kinga na tiba kwa mataifa haya maskini. Ni jambo la kupongezwa sana kwa rais.

Imani yangu ujumbe huu usambae Afrika nzima na upigiwe chapuo na viongozi mbalimbali wa bara hili la Afrika kwani umoja ni nguvu.

Na kwa bahati nzuri leo ni kama nimesikia counselor wa ujerumani bibi Angel Markel kaungana na kauli hii ya muheshimiwa rais,kasema iko haja ya kufanya hivyo.

Nitoe wito kwa watanzania, Rais Magufuli ana nia njema kabisa na Taifa hili kadhalika Afrika kwa ujumla tumtunze tumuenzi, ni viongozi wachache sana Afrika wenye maono kama yake ya kutaka nchi au Afrika kwa ujumla iache utegemezi kama sio kuacha basi ipunguze kwa kiwango kikubwa utegemezi na hapo ndio uhuru kamili unapopatikana .

Ni mimi kapera mlima matikiti Lyangoko Makande,
Kwa maoni tuwasiliane kwa namba hii

0737 169 611
Mfumo mbovu wa uongozi ndio uletao utegemezi.Misaada mingi ni kwa manufaa ya watawala ni nadra Sana kufika chini
 
Siyo wazo lake! Limeshazungumzwa na mashirika yasiyokuwa ua kiserikali (Oxfam, Action Aid) na tayari wenzake wameshazungumza na wakuu wa WB na IMF!
 
Ukiachana na mengine ambayo yametrend kama ya kujifukiza ambayo wapinzani wamechukua kama theme nzima ya hotuba ya Rais.

Ombi la msamaha wa madeni toka kwa taasisi za kifedha ni muhimu sana na jambo jema ambalo Rais kaliona.

Msamaha wa hayo madeni katika kipindi hiki utatufanya tuweze kujimudu vyema kifedha kwa kutegemea vyanzo vyetu kuliko kwa wao kutupa fursa tena ya kukopa ili tuzidi kujididimiza.

Hapo ndipo utaona malengo halisi za taasisi za aina hiyo.
Yeye ameanza kusamehe wadaiwa wake wa ndani? Yani bado kuna janga TRA, TANESCO N.K wanaendelea kutunyonya kama hamna kinachoendelea vile.

Charity begins at home

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No free lunch. We've fallen short of eligibility to be granted debt relief. The government has consistently failed to guarantee the rule of law and respect for human rights.
 
Bwana yesu asife jamani, ndugu wapendwa muwe makini hapa na maanisha kwa hao waganga wa jadi. Ningependa raisi wetu aweke ufafanuzi wa hao waganga wasije wakapiga lamri na wasiite mapopo maana hayo ni machukizo.
 
Post imekosa maana kwa kusema uwongo kuwa Rais wetu ndiye amekuwa wa kwanza kulitamka hilo wakati kuna nchi zilikwishatoa maombi hayo, na tayari wamekwishafutiwa baadhi ya madeni, na kupewa grant ya kupambana na Covid 19.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasaidia nini wakati tumeshaharibu?? Hata wakikubali Tz haimo kwa sababu Tz sio masikini
 
Siyo wazo lake! Limeshazungumzwa na mashirika yasiyokuwa ua kiserikali (Oxfam, Action Aid) na tayari wenzake wameshazungumza na wakuu wa WB na IMF!

..na bila tweet ya mtu anayejiita Tundu Lissu kumwambia ajitokeze upo uwezekano angenyuti kimya muda wote.

..mimi naomba msamaha wa mkopo uwe na masharti makali kuhusu utawala wa sheria, haki za binadamu, utawala bora, uhuru wa vyama vya siasa, na tume huru ya uchaguzi.
 
Lipeni madeni achene longolongo, Msamehewe kwani hao waorld bank ndio walileta Corona?!

TENA LIPENI HARAKA, kwani COVID-19 inakula PESA?
Mna kopa wenyewe halafu mnatafuta matundu ya kukimbilia.

Mbona BOT HAIJATANGAZA KUSAMEHE MADENI KWA WADAIWA WAKE? AU Nyie Tanzania hamkopeshani?
 
Ukiachana na mengine ambayo yametrend kama ya kujifukiza ambayo wapinzani wamechukua kama theme nzima ya hotuba ya Rais.

Ombi la msamaha wa madeni toka kwa taasisi za kifedha ni muhimu sana na jambo jema ambalo Rais kaliona.

Msamaha wa hayo madeni katika kipindi hiki utatufanya tuweze kujimudu vyema kifedha kwa kutegemea vyanzo vyetu kuliko kwa wao kutupa fursa tena ya kukopa ili tuzidi kujididimiza.

Hapo ndipo utaona malengo halisi za taasisi za aina hiyo.
Ndugu kuna Nchi za Africa tena nyingi tu zimeshapewa debt relief na IMF na WB kutokana na janga la Corona..Fatilia.
Sisi Tanzania Kabudi alirudi mikono mitupu na mabarua kibao ya kuomba debt relief ya Dr Mpango wameyatupa kwenye dust bin..
Tatizo kubwa kwa Tanzania ni UTAWALA BORA ndugu yangu..Hapo Meko ndio alipokwama..
Na bado.
 
In Tanzania, the number of confirmed coronavirus cases has increased by more than 500% in the past 10 days. That's one of the worst rates of increase in the world. No wonder the WHO is concerned.


Jr
 
Napenda nizungumzie kipengele kimoja muhimu sana katika Hotuba ya Rais Magufuli jana alipokua akiongea na vyombo vya ulinzi na usalama ,halikadhalika akiongea na taifa kuhusiana na ugonjwa wa corona unaosababishwa na virus COVID-19.

Siwezi rudia yote aliyozungumza kwani yako wazi kabisa mitandaoni na kwenye vyombo vya habari kwa ujumla.

Rais Magufuli aliombwa na baadhi ya wadau mitandaoni aongee na Taifa wengi wakisema kajificha katelekeza nafasi yake anatakiwa atoke hadharani aseme neno, na jana kasema kama baadhi yetu walivyotaka iwe.

Bahati nzuri au mbaya kumbe wanaotaka aseme neno huwa wanataka aseme kile kinachowapendeza wao, na kwa kujua hilo Rais kashambuliwa na walewale waliotaka aseme neno kwa Taifa.

Napenda kwa upande wangu niongelee kipengele kimoja ambacho ni muhimu sana baadhi yetu tunakipotezea na kuangalia upande ambao utafaa kumshambulia.

Nakumbuka alizungumzia jinsi ya kujikomboa kiuchumi kutokana na gonjwa la Corona.

Rais Magufuli kaziomba taasisi za fedha za kimataifa (WB na IMF) kuangalia namna ya kuzisaidia nchi za Afrika, kwa aidha kuzifutia madeni au kuangalia namna ya kupitia upya riba za madeni hayo, kwa maana ya kuzipunguza badala ya kuruhusu nchi hizo kukopeshwa tena,(japo ni jambo jema) ikiwa na maana ya kurundikiwa madeni tena wakati hakuna shughuli za uzalishaji mali (kiuchumi)kama ilivyokua kabla ugonjwa huu.

Nafikiri ni kiongozi wa kwanza barani Afrika kutamka maneno haya yenye mantiki sana ispokuwa hayapewi kipaumbele.

Kauli hii ilinipendeza sana kwani Rais alilenga fedha hizo tulipazo madeni zitumike kama sehemu ya tafiti vifaa kinga na tiba kwa mataifa haya maskini. Ni jambo la kupongezwa sana kwa rais.

Imani yangu ujumbe huu usambae Afrika nzima na upigiwe chapuo na viongozi mbalimbali wa bara hili la Afrika kwani umoja ni nguvu.

Na kwa bahati nzuri leo ni kama nimesikia counselor wa ujerumani bibi Angel Markel kaungana na kauli hii ya muheshimiwa rais,kasema iko haja ya kufanya hivyo.

Nitoe wito kwa watanzania, Rais Magufuli ana nia njema kabisa na Taifa hili kadhalika Afrika kwa ujumla tumtunze tumuenzi, ni viongozi wachache sana Afrika wenye maono kama yake ya kutaka nchi au Afrika kwa ujumla iache utegemezi kama sio kuacha basi ipunguze kwa kiwango kikubwa utegemezi na hapo ndio uhuru kamili unapopatikana .

Ni mimi kapera mlima matikiti Lyangoko Makande,
Kwa maoni tuwasiliane kwa namba hii

0737 169 611
Ndugu, kuna Nchi za Africa tena nyingi tu zimeshapewa debt relief na IMF na WB kutokana na janga la Corona..Fatilia.

Sisi Tanzania Kabudi alirudi mikono mitupu na mabarua kibao ya kuomba debt relief ya Dr Mpango wameyatupa kwenye dust bin..

Tatizo la Tz ni UTAWALA BORA/KUKANDAMIZA DEMOKRASIA

Tumekosa debt relief na hatutapata.

Kwaiyo Meko yeye anasema juzi tupewe msamaha/relief ya madeni wakati wenzie wemeshapata..ni kuzuga kama hajui vile..!!

Na bado hakuna rangi hawataacha kumuonyesha.
 
Back
Top Bottom