Tumpigie Rais Magufuli kura ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017

Status
Not open for further replies.
Mkuu wapinzani wanapima upepo wa siasa hapa jf ni kituko.

Hapa jf wapo wabunge wote wa chadema na viongozi wote waandamizi kila mmoja wao ana account 7 I'd tofali ndio maana jf haina jipya members ni walewale ukisoma tu thread unajua kabisa kabla hujaifungua fulani atasema hivi fulani atacoment hivi hakuna jipya

Mara 100 Facebook wachangiaji ni maelfu mawazo yapo tofauti na si rahisi kukuta kila Habari kuna wachangiaji wanaofanana hapa jf hawazidi members 1000 tena hapo kila mmoja ana I'd 5, chadema wakiona wanaungwa mkono hapa a wanadhani mpaka huko mtaani mambo ni hivyo kumbe ni tofauti.

Ndio maana walivyopigwa 42 kwa moja hawakuamini da mange keshawalemaza
Nenda facebook
 
Y
Nimempigia kura Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017 kama Mwafrika Bora wa 2017. Ni imani yangu kwamba Tanzania tumepata kiongozi bora aliyeelekeza juhudi zake katika kutunganisha waTanzania na kuweka misingi imara ya kuijenga taifa letu; kudumisha uhuru na amani na kuweka itikadi na sera za kukabili ujinga, umaskini na maradhi, kwa hayo machache, Raisi wetu anastahili kabisa TUZO ya HESHIMA ya kuwa Mwafrika Bora wa 2017.

Pia nimempigia kura Mhe. Uhuru Kenyatta, Raisi wa Jamhuri ya Kenya ili apate tuzo kwenye kitengo cha uongozi bora wa kisiasa. Naamini Mhe. Kenyatta ana sifa zote za kunyakua tuzo hii inayolenga kuimarisha demokrasia kwani katika uongozi wake amepigania kwa kiasi kikubwa ameonesha kwamba siyo mchokozi, ni mtulivu na anapenda sana kuheshimu haki za watu na makubaliano yaliyopo. Uhuru ni mfano halisi wa kiongozi mwenye mamlaka na ambaye bado anaamini wako watu wana haki kushinda hata mamlaka yake.

Katika tuzo ya Kiongozi Bora Mwanamke wa 2017, Nimemchagua Susan Mashibe (mTanzania), Huyu ni rubani na mhandisi wa masuala ya ndege, Pia ni Mkurugenzi mtendaji wa kampuni mbili zinazojishughulisha na masuala ya anga. Na kama haujui ndiye mwanamke pekee mwenye cheti cha urubani cha FAA na mhandisi matengenezo ya ndege.

Na Mwisho nikamchagua Fahad Awadh (mTanzania) ambaye ni Mjasiriamali kijana na Mwasisi wa YYTZ Agro-proccessing, Kampuni ya kuchakata korosho iliyopo Zanzibar, ili awe Kijana Bora wa 2017.

Ni muda wako sasa wa kuchagua, Tembelea http://africanleadership.co.uk/6-presidents-business-leade…/ ili uwapigie kura wale unaoamini wamechangia katika ubunifu wa sera zilizosaidia kukabiliana na tatizo sugu la uhaba wa ajira, kukuza demokrasia na kuletea sifa bara la Afrika ughaibuni, na bila shaka ewe mTanzania mwenzangu hautamsahau Raisi wetu mpendwa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika tuzo ya Mwafrika Bora wa 2017.

Tanzania Kwanza,

Na Hamis Nassoro
30 Desemba 2017
YUPO KWENYE CATEGORY GANI??????.................
 
KUNA KIONGOZI MMOJA ALIWAHI KUSEMA WAPUMBAVU NA MAROFA KWELI SASA NIMEAMINI BAADA YA KUSOMA MCHANGO WAKO KWENYE JAMVI HILI
Wewe mwenyewe unajiita SATAN! yaani shetani! Unapata wapi mamlaka ya kuandika ulichoandika?

Shindwa na ulegee yuu mazafakah!
 
Nimempigia kura Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017 kama Mwafrika Bora wa 2017. Ni imani yangu kwamba Tanzania tumepata kiongozi bora aliyeelekeza juhudi zake katika kutunganisha waTanzania na kuweka misingi imara ya kuijenga taifa letu; kudumisha uhuru na amani na kuweka itikadi na sera za kukabili ujinga, umaskini na maradhi, kwa hayo machache, Raisi wetu anastahili kabisa TUZO ya HESHIMA ya kuwa Mwafrika Bora wa 2017.

Pia nimempigia kura Mhe. Uhuru Kenyatta, Raisi wa Jamhuri ya Kenya ili apate tuzo kwenye kitengo cha uongozi bora wa kisiasa. Naamini Mhe. Kenyatta ana sifa zote za kunyakua tuzo hii inayolenga kuimarisha demokrasia kwani katika uongozi wake amepigania kwa kiasi kikubwa ameonesha kwamba siyo mchokozi, ni mtulivu na anapenda sana kuheshimu haki za watu na makubaliano yaliyopo. Uhuru ni mfano halisi wa kiongozi mwenye mamlaka na ambaye bado anaamini wako watu wana haki kushinda hata mamlaka yake.

Katika tuzo ya Kiongozi Bora Mwanamke wa 2017, Nimemchagua Susan Mashibe (mTanzania), Huyu ni rubani na mhandisi wa masuala ya ndege, Pia ni Mkurugenzi mtendaji wa kampuni mbili zinazojishughulisha na masuala ya anga. Na kama haujui ndiye mwanamke pekee mwenye cheti cha urubani cha FAA na mhandisi matengenezo ya ndege.

Na Mwisho nikamchagua Fahad Awadh (mTanzania) ambaye ni Mjasiriamali kijana na Mwasisi wa YYTZ Agro-proccessing, Kampuni ya kuchakata korosho iliyopo Zanzibar, ili awe Kijana Bora wa 2017.

Ni muda wako sasa wa kuchagua, Tembelea http://africanleadership.co.uk/6-presidents-business-leade…/ ili uwapigie kura wale unaoamini wamechangia katika ubunifu wa sera zilizosaidia kukabiliana na tatizo sugu la uhaba wa ajira, kukuza demokrasia na kuletea sifa bara la Afrika ughaibuni, na bila shaka ewe mTanzania mwenzangu hautamsahau Raisi wetu mpendwa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika tuzo ya Mwafrika Bora wa 2017.

Tanzania Kwanza,

Na Hamis Nassoro
30 Desemba 2017

Na namba ya simu kabisa umeweka ili ukumbukwe kwenye ufalme wenu
 
TL yuko hoi kwa majeraha ya risasi. Jamaa akienda kumuona nitampigia kura hiyo.
 
Rais Magufuli anaongoza
611054ea6aaae63787ed4c8e21e9c22d.jpg
Madikteta naona wapo juu
 
Kiongozi bora! kha!.......!
1.YESU mpaka leo anaongoza hata bila kuonekana ama kuonekana na watu wanafuata uongozi wake.
2.Mt.Muhammad anaongoza mpaka leo bila kuoneakana ama kuonekana na watu wafuata uongozi wake.
[HASHTAG]#Nyerere[/HASHTAG] ambaye mnasema nyie wabantu ni kiongozi bora wenu ameondoka na anaongoza kwa kichama binafsi ccm kuwa madarakani bila uongozi wake kuonekana.
[HASHTAG]#Magufuli[/HASHTAG] huyu ambaye hakumbuki fimbo ya utotoni ndio maadili ya ukubwani tena hakumbuki miaka 5 haifai kuchonga kiti kikubwa kwa kudhahania wewe ni mfalme, bali anachokumbuka ni wosia wa Nyerere kulinda ccm.
[HASHTAG]#Ujinga[/HASHTAG] zaidi ni kusema Nyerere baba wa taifa wakati zanzibar nao wana baba yao...... ptyuuuuu UONGOZI UNANUKA...
 
Nimempigia kura Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017 kama Mwafrika Bora wa 2017. Ni imani yangu kwamba Tanzania tumepata kiongozi bora aliyeelekeza juhudi zake katika kutunganisha waTanzania na kuweka misingi imara ya kuijenga taifa letu; kudumisha uhuru na amani na kuweka itikadi na sera za kukabili ujinga, umaskini na maradhi, kwa hayo machache, Raisi wetu anastahili kabisa TUZO ya HESHIMA ya kuwa Mwafrika Bora wa 2017.

Pia nimempigia kura Mhe. Uhuru Kenyatta, Raisi wa Jamhuri ya Kenya ili apate tuzo kwenye kitengo cha uongozi bora wa kisiasa. Naamini Mhe. Kenyatta ana sifa zote za kunyakua tuzo hii inayolenga kuimarisha demokrasia kwani katika uongozi wake amepigania kwa kiasi kikubwa ameonesha kwamba siyo mchokozi, ni mtulivu na anapenda sana kuheshimu haki za watu na makubaliano yaliyopo. Uhuru ni mfano halisi wa kiongozi mwenye mamlaka na ambaye bado anaamini wako watu wana haki kushinda hata mamlaka yake.

Katika tuzo ya Kiongozi Bora Mwanamke wa 2017, Nimemchagua Susan Mashibe (mTanzania), Huyu ni rubani na mhandisi wa masuala ya ndege, Pia ni Mkurugenzi mtendaji wa kampuni mbili zinazojishughulisha na masuala ya anga. Na kama haujui ndiye mwanamke pekee mwenye cheti cha urubani cha FAA na mhandisi matengenezo ya ndege.

Na Mwisho nikamchagua Fahad Awadh (mTanzania) ambaye ni Mjasiriamali kijana na Mwasisi wa YYTZ Agro-proccessing, Kampuni ya kuchakata korosho iliyopo Zanzibar, ili awe Kijana Bora wa 2017.

Ni muda wako sasa wa kuchagua, Tembelea http://africanleadership.co.uk/6-presidents-business-leade…/ ili uwapigie kura wale unaoamini wamechangia katika ubunifu wa sera zilizosaidia kukabiliana na tatizo sugu la uhaba wa ajira, kukuza demokrasia na kuletea sifa bara la Afrika ughaibuni, na bila shaka ewe mTanzania mwenzangu hautamsahau Raisi wetu mpendwa Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli katika tuzo ya Mwafrika Bora wa 2017.

Tanzania Kwanza,

Na Hamis Nassoro
30 Desemba 2017
HOVYO!!!!!!!!!!!!!!!! Mkandamizaji wa demokrasia
 
Napendekeza wangeka na kupigia kura kiongozi wa hovyo alafu watupe matokeo ya kura kwa tanzania tu maana naona kuna watu wanalazimisha tuamini kuwa Raisi wetu hapendwi..
 
Deni LA taifa kwa miaka miwili linanitishia Amani kam unafatilia tofauti na miaka kumi ya jk na mauaji ya watu pia yananifanya niweke kosa kubwa
 
Mkuu wapinzani wanapima upepo wa siasa hapa jf ni kituko.

Hapa jf wapo wabunge wote wa chadema na viongozi wote waandamizi kila mmoja wao ana account 7 I'd tofali ndio maana jf haina jipya members ni walewale ukisoma tu thread unajua kabisa kabla hujaifungua fulani atasema hivi fulani atacoment hivi hakuna jipya

Mara 100 Facebook wachangiaji ni maelfu mawazo yapo tofauti na si rahisi kukuta kila Habari kuna wachangiaji wanaofanana hapa jf hawazidi members 1000 tena hapo kila mmoja ana I'd 5, chadema wakiona wanaungwa mkono hapa a wanadhani mpaka huko mtaani mambo ni hivyo kumbe ni tofauti.

Ndio maana walivyopigwa 42 kwa moja hawakuamini da mange keshawalemaza
Na nyie mbona mnashindia humu jf hamutoki,hadi mnasahau hata kuchukua buku7 ya kulegeza vyuma
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom