DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,789
- 44,875
Assalam alykum....wote
Niende moja kwa moja kwenye Point..
Kwa wale wafuhatiliaji wa siasa naamini mtakuwa mnamfahamu Mbunge wa Bukoba Mjini.... Ndugu: Lwakatare...(Chadema)..
Lwakatare alianza kujipatia umaarufu mnamo miaka ya elfu mbili (2000).
uwo umaarufu wake ulitokana na kuleta hoja binafsi Bungeni yakutaka Pikipiki ..Ambayo kwa jina maarufu kama/bodaboda/ kuweza kuruhusiwa kufanya biashara, na kutambulika kama chombo rasmi cha kubeba Abiria...
Nakukumbuka wabunge wengi wa CCM walimbeza mpaka kumuona kama mtu ambaye kaanza kuchanganikiwa mpaka kufika hatua yakumuita Jina la bodaboda kila alipokuwa akisimama red carpet kuchangia hoja...
Hivyo basi mwisho wa siku Bunge liliweza kujadili hoja yake hiyo nakuweza
Kuipitisha na kuitungia sheria.
Mpaka sasa bodaboda ndo imekuwa ajira kubwa mjini pamoja na vijijini kwa vijana ambao ni wasomi na amabao si wasomi.
Kutokana na hilo Lwakatare anapaswa kuheshimika sana na sio mtu wa kubezwa hata punje ...
Na Lwakatare ndo Mbunge bora kuwahi kutokea Tanzania..
[HASHTAG]#HayaLand[/HASHTAG]..
.
Niende moja kwa moja kwenye Point..
Kwa wale wafuhatiliaji wa siasa naamini mtakuwa mnamfahamu Mbunge wa Bukoba Mjini.... Ndugu: Lwakatare...(Chadema)..
Lwakatare alianza kujipatia umaarufu mnamo miaka ya elfu mbili (2000).
uwo umaarufu wake ulitokana na kuleta hoja binafsi Bungeni yakutaka Pikipiki ..Ambayo kwa jina maarufu kama/bodaboda/ kuweza kuruhusiwa kufanya biashara, na kutambulika kama chombo rasmi cha kubeba Abiria...
Nakukumbuka wabunge wengi wa CCM walimbeza mpaka kumuona kama mtu ambaye kaanza kuchanganikiwa mpaka kufika hatua yakumuita Jina la bodaboda kila alipokuwa akisimama red carpet kuchangia hoja...
Hivyo basi mwisho wa siku Bunge liliweza kujadili hoja yake hiyo nakuweza
Kuipitisha na kuitungia sheria.
Mpaka sasa bodaboda ndo imekuwa ajira kubwa mjini pamoja na vijijini kwa vijana ambao ni wasomi na amabao si wasomi.
Kutokana na hilo Lwakatare anapaswa kuheshimika sana na sio mtu wa kubezwa hata punje ...
Na Lwakatare ndo Mbunge bora kuwahi kutokea Tanzania..
[HASHTAG]#HayaLand[/HASHTAG]..
.