Uchaguzi 2020 Tumpe Makonda Jimbo jijini Dar es Salaam 2020

Makonda ndiye RC wa kwanza mwenye ushawishi mkubwa lakini mpenda maendeleo kwa wakazi wake.

Anajitoa kwa namna yoyote ile ilimradi tu atimize azma yake kwa yale anayotaka kuona yanatendeka kupitia nyanja mbalimbali.

Naamini ikitokea leo akagombea Ubunge Jimbo lolote mkoani Dar es salaam basi anauhakika wa kupata kura zaidi ya 95%

Sent using Jamii Forums mobile app

Umetumwa kutest zari sio? Huyo mtu wako hafai kuwa hata mkuu wa shule ya msingi!!!

Tiba
 
Hv kama mtu anaweza kuleta maendeleo kwa u-rc kwakuwa ana nafasi zaidi ya kiutawala na maamuzi kwanini tena adogoshwe kwenye level ya ubunge ambapo hana mamlaka kama RC na hata jiografia yake ni ndogo zaidi??
Maendeleo yapi unayasemea wewe?
Unajua maana ya maendeleo kweli wewe?
 
Makonda ndiye RC wa kwanza mwenye ushawishi mkubwa lakini mpenda maendeleo kwa wakazi wake.

Anajitoa kwa namna yoyote ile ilimradi tu atimize azma yake kwa yale anayotaka kuona yanatendeka kupitia nyanja mbalimbali.

Naamini ikitokea leo akagombea Ubunge Jimbo lolote mkoani Dar es salaam basi anauhakika wa kupata kura zaidi ya 95%

Sent using Jamii Forums mobile app
Dar-es-salaam ina wenyewe na wenyewe ndio sisi Kinondoni wazaramo wa bagamoyo bado wapo Temeke wandengereko bado wapo na Temeke yao Ilala ndio asijaribu kbs mfano hai mrisho gambo mwaka 2015 kilichompata anajua vzuri Zungu Bado yupo Imara na km amechoka Saku Kitwana Kondo yupo Benchi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu ndio mkuu wa Mkoa ambae anakubalika kuliko wote toka Uhuru mpaka leo na zaidi ni mtu visionary hasa ile shauku yake ya kuona kero zote zinapatiwa ufumbuzi haraka pasi na vikwazo
Dar-es-salaam ina wenyewe na wenyewe ndio sisi Kinondoni wazaramo wa bagamoyo bado wapo Temeke wandengereko bado wapo na Temeke yao Ilala ndio asijaribu kbs mfano hai mrisho gambo mwaka 2015 kilichompata anajua vzuri Zungu Bado yupo Imara na km amechoka Saku Kitwana Kondo yupo Benchi...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Paskali yeye alienda mbali zaidi akatuambia:Baada ya Magufuli tumpe Makonda urais. Nikacheka. Sidhani kama nilikosea kucheka kwa dharau?
Mimi sijawahi kuandika mahali ila ukweli ndio huo
Nimeshawahi kuwaza hichi kitu na ukitathmini ndivyo itakavyokuwa
Ama katiba ibadilishwe rais agombee tena baada ya 2025 au makonda achukue nafasi hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda ndiye RC wa kwanza mwenye ushawishi mkubwa lakini mpenda maendeleo kwa wakazi wake.

Anajitoa kwa namna yoyote ile ilimradi tu atimize azma yake kwa yale anayotaka kuona yanatendeka kupitia nyanja mbalimbali.

Naamini ikitokea leo akagombea Ubunge Jimbo lolote mkoani Dar es salaam basi anauhakika wa kupata kura zaidi ya 95%

Sent using Jamii Forums mobile app
Mamlaka ingekua mikononi kwa jiwe angeshampa majimbo yote hapa tz

Bahati mbaya mamlaka ipo kwa wananchi labda mumpe ubunge wa vuti maalumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makonda ndiye RC wa kwanza mwenye ushawishi mkubwa lakini mpenda maendeleo kwa wakazi wake.

Anajitoa kwa namna yoyote ile ilimradi tu atimize azma yake kwa yale anayotaka kuona yanatendeka kupitia nyanja mbalimbali.

Naamini ikitokea leo akagombea Ubunge Jimbo lolote mkoani Dar es salaam basi anauhakika wa kupata kura zaidi ya 95%

Sent using Jamii Forums mobile app


Dhambi ya vyeti
 
Wewe anaesema makonda apewe jumbo umefilisika kisiasa na umepayuka kiitikadi
 
Makonda ndiye RC wa kwanza mwenye ushawishi mkubwa lakini mpenda maendeleo kwa wakazi wake.

Anajitoa kwa namna yoyote ile ilimradi tu atimize azma yake kwa yale anayotaka kuona yanatendeka kupitia nyanja mbalimbali.

Naamini ikitokea leo akagombea Ubunge Jimbo lolote mkoani Dar es salaam basi anauhakika wa kupata kura zaidi ya 95%

Sent using Jamii Forums mobile app
Anawatuma kama watoto wadogo ahaaaa mwambieni aende Kolomije lipo wazi tena kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar-es-salaam ina wenyewe na wenyewe ndio sisi Kinondoni wazaramo wa bagamoyo bado wapo Temeke wandengereko bado wapo na Temeke yao Ilala ndio asijaribu kbs mfano hai mrisho gambo mwaka 2015 kilichompata anajua vzuri Zungu Bado yupo Imara na km amechoka Saku Kitwana Kondo yupo Benchi...

Sent using Jamii Forums mobile app
Kulonga goya mkulu labda abwere Kolomije
 
Shida ipo hapa
Screenshot_20190331-145535.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom