hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Kaka hadi huku upo? Hahahahaha
Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
Download kupitia google. Play store haifunguki.Mie hata hiyo play store haitaki kufunguka najiungaje sasa mmh
Vpn fasta wewePlay store wameipiga pini
Mkuu huku kwetu Star TV ya Mwanza inakata matangazo ya BBC Zuhura Yunus anaelezea madhila ya Zanzibar watu kuuwawa naomba maelekezo ya UFO VPN kwa Desktop Android kwenye Plat Store wamenigomeaKwa watumiaji wa android, kwakuwa Play store imeshaingiliwa, huwezi download chochote hata hiyo VPN. Ila bado hujashindwa.
Fungua hii link nakupa. Download kisha Install. Ukishamaliza Fungua na bonyeza Connect...
naomba maelekezo ya UFO VPN kwa Desktop Android kwenye Play Store wamenigomeaKwa watumiaji wa android, kwakuwa Play store imeshaingiliwa, huwezi download chochote hata hiyo VPN. Ila bado hujashindwa.
Fungua hii link nakupa. Download kisha Install. Ukishamaliza Fungua na bonyeza Connect.
Hakikisha kwenye simu yako juu kuna alama ya Ufunguo. Ukiuona ufunguo jua uneshakuwa Vpn family. Mia
UFO VPN Basic APK for Android Download
UFO VPN Basic 3.5.0 APK download for Android. Super private & unlimited fast VPN for Android. Go online fast and safely.m.apkpure.com
Mkuu Play store umeenda kufanya nini? Nmekupa link. Ibonyeze, download hiyo apk. Install, fungua. Simple.Mkuu huku kwetu Star TV ya Mwanza inakata matangazo ya BBC Zuhura Yunus anaelezea madhila ya Zanzibar watu kuuwawa naomba maelekezo ya UFO VPN kwa Desktop Android kwenye Plat Store wamenigomea
sasa kabla ya JF kubanwa okoa jahazi, naulizwa Nchi, sijui nijaze kipi kwanza
View attachment 1613959
Niko Uarabuni nakagua visima vya mafuta.Nipo zangu South Africa.
Nainjoy maisha.
Download hapa... (usisahau ku kuruhusu apps from external source)Mimi nafanyaje jamani nimeshapanicView attachment 1613970
Play store wameipiga pini
We jamaa kubwa jinga.Huo ni uwongo wa Chadema mwisho wao ni October
OK natumia Halotel imekuwa nzito nitajaribu baadaeMkuu Play store umeenda kufanya nini? Nmekupa link. Ibonyeze, download hiyo apk. Install, fungua. Simple.
Naona mtandao wako unasoma E hapo sio rahis kudownload app.. Jaribu kuset mtandao usome 3g,4g au H+OK natumia Halotel imekuwa nzito nitajaribu baadae View attachment 1614063