Ndenji five
JF-Expert Member
- Nov 1, 2021
- 1,985
- 3,083
Niamini mimi ndugu kijana mtafuta kazi kumekuwa na tabia mtu kuandika post anatafuta kazi sizani kama mpo mliofanikiwa kwenye hili kama mpo kwenye kumi atapata mmoja
Ipo hivi mtu kukupa kazi kwa maelekezo tu natafuta kazi ni kazi nyingine kwa sababu huyo unayo muomba kazi kwa kuposti humjui hakujui kiundani sasa anakuamini vipi ikiwa hata yeye ana ndugu rafiki jamaa alafu akupe ww ulaji kilaini broo,sister kuwa serious basi
Ni hivi kazi zipo nyingi tena nyingi ila %85 hazitangazwi unaweza kuta unakaa hapo hapo mtaani kwako kuna kazi ila huwezi pata taarifa anakuja kupata taarifa wa mikoa ya mbali wew upo
Nasema haya sababu ni mzoefu wa haya mambo kuna muda nilikuwa hadi nashangaa inakuwaje mtu unakosa kazi mana ilikuwa bandika bandua leo huku kesho kule wenye kazi wananibembeleza
Naongelea kazi sio vibarua
Tumia mbinu hizi zitakusaidia
Connection kama unajijua ww dereva au mwalimu nk jitahidi sana uwe na ukaribu na walio kwenye hizo secta jikombe uwezavyo na ujitanabaishe kwa huyo mtu wako unatafuta kazi itakuwa rahisi kwako
Bakishishi: ukiweza hiko cha kwanza cha pili ni pesa mkono mtupu haurambwi hata kama hujaombwa jitahidi uwe na kasenti kakumpa moyo jamaa
hapa ndipo lengo la kuanzisha mada Fanya maombi ya mizim tafuta mganga mkali akufanyie mandingilingi yaan akukebue japo hiyi mbinu itafanya kazi kwa muda na sio kila tawile anaweza ukiona tawile anaendekeza pesa achana nae huyo tapeli utapigwa na ukiweza hili utafurahi mbona utaenda kuomba kazi na cheti cha kuzaliwa mwajili wako kila akicheki cheti anaona una cv zote kwenye tarehe ya kuzaliwa ataona umesomea chuo cha bora duniani NB sio lazima uamini nimekupa njia wanazotumia wana kubust mambo kama huamini tulia
Funga sali sana omba Mungu ujuavyo funga kwa imani zote afu nenda kaombe kazi
Niishie hapo ukifeli hizi hatua basi nyota yako sio ya kutafuta ajila ila unajilazimisha angalia kipawa chako kifanyie kazi
Ipo hivi mtu kukupa kazi kwa maelekezo tu natafuta kazi ni kazi nyingine kwa sababu huyo unayo muomba kazi kwa kuposti humjui hakujui kiundani sasa anakuamini vipi ikiwa hata yeye ana ndugu rafiki jamaa alafu akupe ww ulaji kilaini broo,sister kuwa serious basi
Ni hivi kazi zipo nyingi tena nyingi ila %85 hazitangazwi unaweza kuta unakaa hapo hapo mtaani kwako kuna kazi ila huwezi pata taarifa anakuja kupata taarifa wa mikoa ya mbali wew upo
Nasema haya sababu ni mzoefu wa haya mambo kuna muda nilikuwa hadi nashangaa inakuwaje mtu unakosa kazi mana ilikuwa bandika bandua leo huku kesho kule wenye kazi wananibembeleza
Naongelea kazi sio vibarua
Tumia mbinu hizi zitakusaidia
Connection kama unajijua ww dereva au mwalimu nk jitahidi sana uwe na ukaribu na walio kwenye hizo secta jikombe uwezavyo na ujitanabaishe kwa huyo mtu wako unatafuta kazi itakuwa rahisi kwako
Bakishishi: ukiweza hiko cha kwanza cha pili ni pesa mkono mtupu haurambwi hata kama hujaombwa jitahidi uwe na kasenti kakumpa moyo jamaa
hapa ndipo lengo la kuanzisha mada Fanya maombi ya mizim tafuta mganga mkali akufanyie mandingilingi yaan akukebue japo hiyi mbinu itafanya kazi kwa muda na sio kila tawile anaweza ukiona tawile anaendekeza pesa achana nae huyo tapeli utapigwa na ukiweza hili utafurahi mbona utaenda kuomba kazi na cheti cha kuzaliwa mwajili wako kila akicheki cheti anaona una cv zote kwenye tarehe ya kuzaliwa ataona umesomea chuo cha bora duniani NB sio lazima uamini nimekupa njia wanazotumia wana kubust mambo kama huamini tulia
Funga sali sana omba Mungu ujuavyo funga kwa imani zote afu nenda kaombe kazi
Niishie hapo ukifeli hizi hatua basi nyota yako sio ya kutafuta ajila ila unajilazimisha angalia kipawa chako kifanyie kazi