NnyaMbwate
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,678
- 1,204
Chief-Mkwawa, weee ni Mkali!!! Thanks Bro! Modem yangu ya Airtel imekubali line ya Voda!!
Mkuu natumia moderm ya airtel model no 153u-2 but nikiweka line ya airtel na nikitumia pc suite inakubaqli but nikiweka line nyingine(voda) na nikijaribu ku conect inakataa na inatoa msg hii FAILED TO CONECT NETWORK
Kama ulifata hizo process ikakataa jaribu ku update pc suite yako
kaka pole sana kaka, nimepitia experience kama hiyo ya kwako, ila angalia kama umechomeka vizuri line kewnye modem maana baada ya kulijua hilo, kwangu sasa hivi ipo okkaka nimeshadownload hiyo software it seems it is going to be working bt tuambie hata procedure basi tusije kuharibu modem plz
hey brothers and sisters nataka tushee hii trick of mine kutumia line yoyote ya mtandao wowote kwenye modem yoyote unayoitaka wewe bila ku unlock,(tigo, voda na airtel)
Fata hizi step
Chomeka modem na line isiokua ya mtandao sawa na modem then itakwambia invalid sim, ignore hio msg then close software ya modem
Open nokia pc suite (vizuri uwe na latest version) halafu click pale pa kukonektia na internet (one touch access) utaona tab itapop up then click configure halafu select modem yako mfano (huawei 153) click ok
Now connect na internet bila ku unlock modem, enjoooy
Kama utakua na tatizo u may ask
hey brothers and sisters nataka tushee hii trick of mine kutumia line yoyote ya mtandao wowote kwenye modem yoyote unayoitaka wewe bila ku unlock,(tigo, voda na airtel)
Fata hizi step
Chomeka modem na line isiokua ya mtandao sawa na modem then itakwambia invalid sim, ignore hio msg then close software ya modem
Open nokia pc suite (vizuri uwe na latest version) halafu click pale pa kukonektia na internet (one touch access) utaona tab itapop up then click configure halafu select modem yako mfano (huawei 153) click ok
Now connect na internet bila ku unlock modem, enjoooy
Kama utakua na tatizo u may ask
jaza access point tu huko kwengine acha waz
Access point ndio ipi hiyo.
Mkuu big up saana. Nimefuata maelekezo yako, kitu kimekubali thanks. Nimejaribu kutumia Airtel Modem e153, ndani kukiwa na line ya tigo. Hii ina maana ile software ya kufanya temporary unlock itakua imepata competitor(NOKIA PC SUITE).