Katika maisha yangu nimejiapiza kunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke {mke wangu}, ila kama akifurutu ada basi nitampiga ile ki ada au kama kutoa nadhiri tu na sio kumpiga ili kumuumiza.
Mke wangu akiunguza mboga mi huwa siku nyingine naingia jikoni mwenyewe, sipendi shida
Msichana wangu wa kazi naishi nae kama ndugu, sijawahi kumfokea wala nini, akikosea namwelewesha, akivunja vyombo namwambia katupe vigae jalalani, mke wangu nikimkuta anamfokea mdada wa kazi namkataza na kumuambia muache, hayupo kwa ajili ya kufokewa na masimango
Ni very true, ukija kwangu mdada wa kazi anaishi fresh na anajiskia amani muda wote, hata akiharibu kitu namwambia sio kosa lake, basi utakuta anaishi vizuri na hadi watoto anawapenda.
Hongera sana kaka kama ndio uko hivyo.
Ila nasubiri wifi yangu apite pande hizi anihakikishie hilo la kuingia mwenyewe jikoni sababu kuna kiemoj kimenipa mashaka.
Ki emoji kipi kimekupa mashaka? Nenda kwenye uzi wa vyakula tu, uone mambo yangu.
Hongera sana kaka kama ndio uko hivyo.
Ila nasubiri wifi yangu apite pande hizi anihakikishie hilo la kuingia mwenyewe jikoni sababu kuna kiemoj kimenipa mashaka.
Nzuri sana hiyo kaka na ukishakuwa na mawazo hayo jumlisha Ubinadamu ni ngumu sana kuwafanyia mambo ya kinyama hao wasaidizi.Ni very true, ukija kwangu mdada wa kazi anaishi fresh na anajiskia amani muda wote, hata akiharibu kitu namwambia sio kosa lake, basi utakuta anaishi vizuri na hadi watoto anawapenda.
Nahofia sana kumkorofisha, anaweza kuwatenda vibaya watoto.
Wanasema wasi wasi ndio akili, sijui ni sawa!Nzuri sana hiyo kaka na ukishakuwa na mawazo hayo jumlisha Ubinadamu ni ngumu sana kuwafanyia mambo ya kinyama hao wasaidizi.
Hongera sana kaka ake.
Hahahaaa. Siku zote kaka hakosei na hata akikosea tunamuhesabia kafanya kusudi.Wanasema wasi wasi ndio akili, sijui ni sawa!
hongera kwa dr shika..mimi sasa nimeamua kubadilika nimeona haya maisha ni changamoto tu!! kwakweli moyo wa ujasiri ndo sikuwa nao na sasa namshukuru Tajiri mtata Dr Shika kunifanya niwe humble asee kila kitu kinawezekana ukiamua!!
bangi kumbe zinasaidia aliKatika maisha yangu nimejiapiza kunyanyua mkono wangu kumpiga mwanamke {mke wangu}, ila kama akifurutu ada basi nitampiga ile ki ada au kama kutoa nadhiri tu na sio kumpiga ili kumuumiza.
Mke wangu akiunguza mboga mi huwa siku nyingine naingia jikoni mwenyewe, sipendi shida
Msichana wangu wa kazi naishi nae kama ndugu, sijawahi kumfokea wala nini, akikosea namwelewesha, akivunja vyombo namwambia katupe vigae jalalani, mke wangu nikimkuta anamfokea mdada wa kazi namkataza na kumuambia muache, hayupo kwa ajili ya kufokewa na masimango
Yaani we acha tu, mi mwenyewe huwa najishangaa ninavyokuwa na akili baada ya kuvuta, maana kazi nyingine nafanya mwenyewe na dada wa kazi anakula maishabangi kumbe zinasaidia ali
Yaani we acha tu, mi mwenyewe huwa najishangaa ninavyokuwa na akili baada ya kuvuta, maana kazi nyingine nafanya mwenyewe na dada wa kazi anakula maisha
No, ila saa zingine mtu anabore kiasi kwamba unajikuta umefanya kitu ambacho hukukitarajia kabisaila kuna wengine wakp humble
kwahyo dawa ya kutuliza huo mdomo ni mkong'oto?