Tumfahamu Mamady Doumbouya, kiongozi wa mapinduzi nchini Guinea

Huyu jamaa afanye ziara ya kushtukiza Tanzania.

Ndugai kama nakiona kikipigwa mbata ya kwenye kipara kolabo na makonzi kama 6 hivi, mixa na mabanzi heavy duty yale ya haraka haraka kama 10 na hilo pande la mtu. Halafu kifuatiwe kupigwa na bonge la mtama mamamaqe.

Akitaka kuamka toka chini anakutana na banzi jingine anarudi alipotoka chini.

ahaha mbona bongo tunao wengi hao
 
Mtasema yote,
Ila ukweli utabaki pale pale, ALPHA CONDE hasafishiki
IMG-20210907-WA0000.jpg



Bottom line kwa kubwaga katiba amevuna alichopanda.
 
Yule mzee kawa raisi miaka 11then kabadilisha katiba ili aendelee kutawala, naona ndio alichokuwa anatafuta kakipata alifikiri wote wapuuzi kama yeye, kibaya zaidi miaka yote 11 wananchi wameendelea kuwa maskini huku yeye na wenzake wakila bata
 
Ana uraia pacha Guinea na Ufaransa.
Majajusi wa ufaransa walimtonya kuwa Konde ana mpango wa kumkamata.

Wakampa mpango wa kumpindua Konde.

Jumapili Doumbouya alimtaarifu rais kuwa kuna vikosi nje kidogo ya jiji vinataka kuasi.
Akamuomba rais aondoke na makomandoo kadhaa kwenda kutuliza uasi, rais akakubali.

Walienda huko nje ya jiji na kukaa masaa machache na kugeuza maana hapakuwa na uasi wowote.

Wakati wa kurudi alimpigia rais simu kwamba ameshatuliza uasi anaomba kuja ikulu kumpa ripoti kamili, rais akakubali.
Walipofika geti la ikulu waliruhusiwa kuingia maana rais alikuwa na taarifa nao.

Ghafla wakaanza kuwashambulia walinzi wa rais na kuwataka waweke silaha chini.

Wakamkamata Konde na kumwambia wewe sio rais tena.
Bado ameshikwa na butwaa mpaka leo.
 
Ana uraia pacha Guinea na Ufaransa.
Majajusi wa ufaransa walimtonya kuwa Konde ana mpango wa kumkamata.

Wakampa mpango wa kumpindua Konde.

Jumapili Doumbouya alimtaarifu rais kuwa kuna vikosi nje kidogo ya jiji vinataka kuasi.
Akamuomba rais aondoke na makomandoo kadhaa kwenda kutuliza uasi, rais akakubali.

Walienda huko nje ya jiji na kukaa masaa machache na kugeuza maana hapakuwa na uasi wowote.

Wakati wa kurudi alimpigia rais simu kwamba ameshatuliza uasi anaomba kuja ikulu kumpa ripoti kamili, rais akakubali.
Walipofika geti la ikulu waliruhusiwa kuingia maana rais alikuwa na taarifa nao.

Ghafla wakaanza kuwashambulia walinzi wa rais na kuwataka waweke silaha chini.

Wakamkamata Konde na kumwambia wewe sio rais tena.
Bado ameshikwa na butwaa mpaka leo.
kapinduliwa kiboya sanaaa
 
Daaaaah nimecheka kwa nguvuuu sanaa ndani ya mwendokasiii daaaah sio poa wagon sio watu mtamuua yule mzee wa mke wa yesu
 
Aisee mi ningekuwa huko Guinea ningemla kimasihara mke WA huyo komando mwana mapinduzi ningevzia ameenda kazin kikosini mi najipeleka kwake nipate mbususu ya mkewe..........
 
Back
Top Bottom