Ustadh tongwe
JF-Expert Member
- Nov 22, 2020
- 584
- 1,522
Umri wake upo kwenye 40's unamuona chalii sababu ana mafanikio hila ukiwa na miaka hyo halafu hela huna unaonekana umri umeenda kinoma halafu ushapotezaKumbe bado chalii tu
Umri wake upo kwenye 40's unamuona chalii sababu ana mafanikio hila ukiwa na miaka hyo halafu hela huna unaonekana umri umeenda kinoma halafu ushapotezaKumbe bado chalii tu
Kushoto Ni KAMANDA mamadou Doumbouya akiuza MITUMBA nchini GUINEA.
Hii ni miaka ya nyuma Sana kabla hajajiunga na Jeshi.View attachment 1925636