cDNA JF-Expert Member Nov 10, 2016 353 348 Nov 26, 2016 #2 Mh! Mbona huyo muuza mchicha mwenyewe atisha hivyo...isije kuwa auza ile michicha ya Kenya ambayo pia ni maaarufu zaidi nchini Somalia.
Mh! Mbona huyo muuza mchicha mwenyewe atisha hivyo...isije kuwa auza ile michicha ya Kenya ambayo pia ni maaarufu zaidi nchini Somalia.
ukhuty JF-Expert Member Oct 9, 2016 16,851 41,924 Nov 26, 2016 #4 cDNA said: Mh! Mbona huyo muuza mchicha mwenyewe atisha hivyo...isije kuwa auza ile michicha ya Kenya ambayo pia ni maaarufu zaidi nchini Somalia. Click to expand... Nahis itakuwa hiyo
cDNA said: Mh! Mbona huyo muuza mchicha mwenyewe atisha hivyo...isije kuwa auza ile michicha ya Kenya ambayo pia ni maaarufu zaidi nchini Somalia. Click to expand... Nahis itakuwa hiyo
kenshi JF-Expert Member Jul 12, 2015 1,970 1,953 Nov 26, 2016 #5 Kwastaili hiyo bora mzuiwe tu mnaweza mkatuuzia bangi.
Vinci JF-Expert Member Jul 6, 2009 2,638 668 Nov 26, 2016 #6 Hahahaa...Mchicha ya pande ya Meru Kenya
Kingsharon92 JF-Expert Member Aug 10, 2015 7,552 9,528 Nov 26, 2016 #8 Itakuwa ni somalia muuza gomba ana zeze pembeni mteja naye ana zeze mgongoni mkizinguana tu unamwagwa ubongo
Itakuwa ni somalia muuza gomba ana zeze pembeni mteja naye ana zeze mgongoni mkizinguana tu unamwagwa ubongo
mbere JF-Expert Member Mar 5, 2015 6,969 6,460 Nov 26, 2016 Thread starter #9 Kingsharon92 said: Itakuwa ni somalia muuza gomba ana zeze pembeni mteja naye ana zeze mgongoni mkizinguana tu unamwagwa ubongo Click to expand... Hana zeze
Kingsharon92 said: Itakuwa ni somalia muuza gomba ana zeze pembeni mteja naye ana zeze mgongoni mkizinguana tu unamwagwa ubongo Click to expand... Hana zeze