Tumezidi ushamba

Pole nilikuwa nataka kueleza kuwa gadhabu za watu wa nchi moja huonesha kwa kuandamana katika ubalozi wao. Wanaija walifanya huko kwao kuonesha kusikitishwa na mauaji ya wanaija na sie vijana wapo Sawa maana ndege yao imeshikiriwa sauzi hivyo kuandamana mbele ya ubalozi wa sauzi ni kutoa ujumbe (voice of the voiceless). Una jengine?
wakati kesi iko mahakamani so stupid
 
Baba mshamba, unategemea watoto wafanane na nani?
Alivyo baba ndivyo walivyo watoto
Kwa kweli sisi tumezidi ushamba sasa!

Yaani huko kushikiliwa kwa ndege moja tu ndo imekuwa nongwa hadi majitu yanaenda kuandamana?

Kushikiliwa kwa ndege kumekuwa ndo gumzo la taifa sasa! Mengine yote yamesahaulika!

Mimi si mshabiki sana wa haya mashirika ya ndege ya taifa. Najua yapo dunia nzima. Napendelea zaidi mashirika binafsi ndo yafanye hizo biashara za anga kama ilivyo Marekani.

Hii ya ndege moja kukamatwa na watu kuanza kutoa mapovu hadi kufikia kuandamana mbele ya ubalozi wa nchi inakoshikiliwa ndege hiyo ni ushamba.

Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.

Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?

Tumezidi ushamba.
 
Hizo pesa zilizotumika kuandaa na kuwalipa hao walioandamana, si wangeongezea tuu kwenye kasma ya kulipa hilo deni ili ndege iachiwe..!

Inanikumbusha wakati wasukuma wa Mwanza walivyoandamana kupinga ile documentary iliyokuwa inawaonyesha watu wakila mapanki ya samaki.. Sijui mmekwama wapi nyie..
 
Kwa kweli sisi tumezidi ushamba sasa!

Yaani huko kushikiliwa kwa ndege moja tu ndo imekuwa nongwa hadi majitu yanaenda kuandamana?

Kushikiliwa kwa ndege kumekuwa ndo gumzo la taifa sasa! Mengine yote yamesahaulika!

Mimi si mshabiki sana wa haya mashirika ya ndege ya taifa. Najua yapo dunia nzima. Napendelea zaidi mashirika binafsi ndo yafanye hizo biashara za anga kama ilivyo Marekani.

Hii ya ndege moja kukamatwa na watu kuanza kutoa mapovu hadi kufikia kuandamana mbele ya ubalozi wa nchi inakoshikiliwa ndege hiyo ni ushamba.

Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.

Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?

Tumezidi ushamba.
Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.
 
#Hivi mshana mbona anafanana na yule katibu Mkuu mwenza wa wizara ya katiba na sheria??

#Sioni uzalendo wako uko wap bro, ofcourse ndege ni kitu kidogo lkn trust me ukishindwa kuthamini chako kidogo hutaweza kwa kitu kikubwa.

#Hao MATAGA ninawapongeza sana wameonesha nia na roho ya kujali.
 
Ushamba Gani HAPO Sasa Acha Kutuaminisha Ujinga,, Kama Wewe Ndiye Mjanja Hamia Kwa Wajanja Wenzako Kwani Umelazimishwa Kuishi Hapa Tz
kwahiyo huelewi ushamba gani mmeufanya watanzania au unataka tuchoshane tu..halafu usinipangie kwa kuishi wewe sio mke wangu..idiot
 
Kwa kweli sisi tumezidi ushamba sasa!

Yaani huko kushikiliwa kwa ndege moja tu ndo imekuwa nongwa hadi majitu yanaenda kuandamana?

Kushikiliwa kwa ndege kumekuwa ndo gumzo la taifa sasa! Mengine yote yamesahaulika!

Mimi si mshabiki sana wa haya mashirika ya ndege ya taifa. Najua yapo dunia nzima. Napendelea zaidi mashirika binafsi ndo yafanye hizo biashara za anga kama ilivyo Marekani.

Hii ya ndege moja kukamatwa na watu kuanza kutoa mapovu hadi kufikia kuandamana mbele ya ubalozi wa nchi inakoshikiliwa ndege hiyo ni ushamba.

Nishawahi kusema humu kuwa maamuzi ya kununua hayo madege yalikuwa ni ya papara. Na haya yaliyotokea ndo ushahidi wa papara yenyewe sasa.

Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?

Tumezidi ushamba.
Si ushamba tu bali ni utaahira syndrome . This issue has become so serious and chronic these days
 
Kuhusu mauaji ya wanaija huko sauzi
Oneni kiazi mwingine huyu , hivi hii nchi mbona watu wanazidi kukosa akili kila siku ? . Duh ! Halafu unakuta jitu kama wewe eti una mtoto kabisa . Huyo mtoto si atakuwa disaster kwa mtindio wa ubongo kabisa ?
 
Nimetizama Yale majinga yalivyokua yanaimba Yani unajua tuuh kichwani Ni upepo tuuh ,Yani unaweza tamani kuyanasa makelebu tuuh afu Ni wajinga 30 wanakuzwa Kama halaiki ya watu 10000,ule Ni ushuzi mtupu mngh!!!
[/QUOTE😂😂yapo mengi hata ukiyaua humalizi mkuu
 
Sio poa hata kama tunadaiwa,huu mtindo wa kuzuia ndege ni kama utekaji.ina maana sheria zinaruhusu kuzuia ndege pale nchi daiwa inaposhindwa kulipa deni? Na bora deni tungekuwa na tumekopa fedha hivi karibuni kwa masuala ya maendeleo,sasa deni la miaka 37 iliyopita,si unajua awamu hiii inajitahidi kufanya hili na lile ili tuweze kusonga mbele kiuchumi,bila kujali mapungufu ya hapa na pale.kwahiyo hili la ndege yetu kuzuiwa halijakaa poa,linaumiza,

Kuhusu kuandamana ,si jambo baya wala ushamba,kuandamana ni namna tu ya kufikisha ujumbe sehemu husika.kila mtu ana haki ya kufanya jambo anavyojisikia,ahakikishe tu havunji sheria.
Kwa hiyo leo ndo umeonaa kuna umuhimu wa kuandamana eh?yaan akili za kilumumba ni kama saratan kwa taifa hili
 
Yaani ndege moja tu kukamatwa ndo ifanye watu wazima waache shughuli zao waende kuandamana mbele ya ubalozi?? Hawana shughuli za kufanya au?
Tunategemea utakuwepo uwanjani Dar, kuungana na Viongozi wetu "Wazalendo" kuipokea ndege yetu kwa shamrashamra itakapoachiwa. Onyesha "uzalendo" wako kwa "viongozi wako", sio lazima iwe kwa (Tanzania) kwa kuwepo kwako uwanja wa ndege. Ratiba kamili itatolewa mara tu taarifa zitakapopatikana.

Inashangaza kidogo kuona watu bado hawaelewi juhudi kubwa zinazofanywa na viongozi wetu. Inamaana wewe hukushiriki katika yale mapokezi "Hapa Kazi Tu" ilipoingia Dar kwa mara ya kwanza? Sasa "uzalendo" uko wapi?
 
Oneni kiazi mwingine huyu , hivi hii nchi mbona watu wanazidi kukosa akili kila siku ? . Duh ! Halafu unakuta jitu kama wewe eti una mtoto kabisa . Huyo mtoto si atakuwa disaster kwa mtindio wa ubongo kabisa ?
Una uhakika? Matusi hayafanyi ukweli kuwa uongo. Na mtu akianza matusi jua ameishiwa hoja
 
Hapo walimaanisha watupe ndege bure bure bila kufuata sheria kwa kuwa tumewasaidia sana enzi za kupigania haki yao..kwa kweli huu ushamba unazidi kutuaibisha kimataifa tunaonekana ni nchi ya wapumbavu
Kweli kabisa huu ni ushamba wa Kiwango cha sgr
 
30 Reactions
Reply
Back
Top Bottom