wakati kesi iko mahakamani so stupidPole nilikuwa nataka kueleza kuwa gadhabu za watu wa nchi moja huonesha kwa kuandamana katika ubalozi wao. Wanaija walifanya huko kwao kuonesha kusikitishwa na mauaji ya wanaija na sie vijana wapo Sawa maana ndege yao imeshikiriwa sauzi hivyo kuandamana mbele ya ubalozi wa sauzi ni kutoa ujumbe (voice of the voiceless). Una jengine?