Tumekutana kwa baba hatupendani kila watu wanaishi kivyao. Sisi tuko wanne mama mmoja baba mmoja tunapendana wao wako wawili kwa mama yao ila inatokea tunachukiana tu ila baba anaumia sana kwa maisha tunayoishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app