First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
Hiyo ni kauli mbiu ya miaka 50 ya uhuru Tz. Sijajua kama kuna ukweli. We unaonaje?
NIlikuwepo Dodoma kwenye sherehe za kitaifa na gharama ni kubwa sana sana kuliko ungefiria.Tumethubutu, tumeweza, na tunasonga mbele kuliangamiza taifa.
NIlikuwepo Dodoma kwenye sherehe za kitaifa na gharama ni kubwa sana sana kuliko ungefiria.
Hayo maneno wanayo tumia tosha inaonesha ubungufu wa kujiamini