TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,890
- 11,288
nafahamu kwamba kuingia kwenye forum ya udini ni hiyari, na sina matatizo na hilo;
Kero yangu ni jinsi tulivyovamia mambo ya udini na kusahau maendeleo na mahitaji yetu kama watanzania, ukifungua latest threads utaona zaidi ya theluthi ni kuhusu udini na kashfa zake
Nadhani we need to draw a line ili tujenge tz ya ubora zaidi, kwani upekuzi unaofanywa na wanazuoni humu ndani [dini zote mbili] ni mkubwa na if similar knowledge and focus was given elsewhere, tungekuwa mbali sana hasa katika vita dhidi ya wabaya wa nchi
Kero yangu ni jinsi tulivyovamia mambo ya udini na kusahau maendeleo na mahitaji yetu kama watanzania, ukifungua latest threads utaona zaidi ya theluthi ni kuhusu udini na kashfa zake
Nadhani we need to draw a line ili tujenge tz ya ubora zaidi, kwani upekuzi unaofanywa na wanazuoni humu ndani [dini zote mbili] ni mkubwa na if similar knowledge and focus was given elsewhere, tungekuwa mbali sana hasa katika vita dhidi ya wabaya wa nchi
Last edited: