NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,803
- 637
Mimi, Chrispini, BHT, Geof, Ziondaughter na Kaizer tumewawakilisha wana JF wote kwenye msiba wa baba yake Pakajimmy maeneo ya kitunda na safari ilianza mida ya saa 8 kulekea Mbeya ambako mzee wetu atapumzishwa. Na tulivyowasiliana mida ya saa 11 walikuwa wamepita maeneo ya morogoro mjini.
Pakajimmy kafarijika na anawashukuru wana JF wote kwa support mliompa kipindi hichi kigumu.
UPDATE;
PAKAJIMMY na familia yao walifika salama na kumpumzisha mzee wetu mida 7:45 mchana tarehe 28/01. Baada ya siku 3/4 tutakuwa tena na Pakajimmy hapa Jamvini.
Pakajimmy kafarijika na anawashukuru wana JF wote kwa support mliompa kipindi hichi kigumu.
UPDATE;
PAKAJIMMY na familia yao walifika salama na kumpumzisha mzee wetu mida 7:45 mchana tarehe 28/01. Baada ya siku 3/4 tutakuwa tena na Pakajimmy hapa Jamvini.