Tumewashtukia: Tshs bilioni 630 ukitoa Tshs bilioni 250 unabakiwa na Tshs bilioni 380. Serikali imenunua kiasi gani kwa kilo? Twende kazi!

G Sam

JF-Expert Member
Apr 20, 2013
11,555
35,880
Kwanza sijui kwanini Board ya korosho imetumbuliwa wakati kosa ni la serikali.

Sijui kwanini waziri wa kilimo ametumbuliwa wakati alimlilia Dr. Mpango machozi pale bungeni! Ona sasa Mpango alivyomponza mwenzake.

Twendeni kimahesabu kisha tuangalie mwenye kosa ni nani?

Tayari tumekwapua Tshs bilioni 250 za wakulima wa korosho (Export levy)

Tayari tunaenda kununua tani 210,000 za korosho kama serikali (Najua wafanyabiashara katu hawatonunua wakati hakuna faida)

Sasa kwa bei ya Tshs 3000 kwa kilo maana yake serikali inahitaji kununua korosho kwa Tshs bilioni 630. Ukichukua ile Export Levy waliyokwapua ya Tshs bilioni 250 ambayo kimsingi ni fidia kwa wakulima pale soko linapokuwa baya. Hii ndiyo fedha inayotumika kufidia gharama mbalimbali na huongezwa kwenye manunuzi. Maana yake chukua 630 bilioni - 250 bilioni unabakiwa na 380 bilioni. Hizi 380 bilioni ndiyo fedha halisi ambazo serikali itatoa mfukoni mwake kununua korosho.

Sasa Tani 210000 ni sawa na kilo 210,000,000 za korosho

Ukichukua Tshs 380,000,000,000 ukagawa kwa kilo 210,000,0000 unapata Tshs kadirio la juu 1900 kwa kilo.
Hiyo ndiyo bei halisi serikali inayoenda kununulia korosho. Kisha tutakuwa na mapambio ya kila aina wakati mchawi ni Mpango alipoikwapua ile Export Levy!

Pole sana Tizeba ulilia sana pale bungeni kuhusu sakata la export levy na ukamtahadharisha Mpango kuwa anakuweka pagumu kiutendaji ila Mpango akavaa miwani nyeusi! Pale alikuwa anachimba kaburi lako na jana kakuzika rasmi!
 
Kwanza sijui kwanini Board ya korosho imetumbuliwa wakati kosa ni la serikali.

Sijui kwanini waziri wa kilimo ametumbuliwa wakati alimlilia Dr. Mpango machozi pale bungeni! Ona sasa Mpango alivyomponza mwenzake.

Twendeni kimahesabu kisha tuangalie mwenye kosa ni nani?

Tayari tumekwapua Tshs bilioni 250 za wakulima wa korosho (Export levy)

Tayari tunaenda kununua tani 210,000 za korosho kama serikali (Najua wafanyabiashara katu hawatonunua wakati hakuna faida)

Sasa kwa bei ya Tshs 3000 kwa kilo maana yake serikali inahitaji kununua korosho kwa Tshs bilioni 630. Ukichukua ile Export Levy waliyokwapua ya Tshs bilioni 250 ambayo kimsingi ni fidia kwa wakulima pale soko linapokuwa baya. Hii ndiyo fedha inayotumika kufidia gharama mbalimbali na huongezwa kwenye manunuzi. Maana yake chukua 630 bilioni - 250 bilioni unabakiwa na 380 bilioni. Hizi 380 bilioni ndiyo fedha halisi ambazo serikali itatoa mfukoni mwake kununua korosho.

Sasa Tani 210000 ni sawa na kilo 210,000,000 za korosho

Ukichukua Tshs 380,000,000,000 ukagawa kwa kilo 210,000,0000 unapata Tshs kadirio la juu 1900 kwa kilo.
Hiyo ndiyo bei halisi serikali inayoenda kununulia korosho. Kisha tutakuwa na mapambio ya kila aina wakati mchawi ni Mpango alipoikwapua ile Export Levy!

Pole sana Tizeba ulilia sana pale bungeni kuhusu sakata la export levy na ukamtahadharisha Mpango kuwa anakuweka pagumu kiutendaji ila Mpango akavaa miwani nyeusi! Pale alikuwa anachimba kaburi lako na jana kakuzika rasmi!
Ina maana haya mahesabu rais hajayakokotoa akiwa ni mtaalamu wa hisabati?
 
Kwanza sijui kwanini Board ya korosho imetumbuliwa wakati kosa ni la serikali.

Sijui kwanini waziri wa kilimo ametumbuliwa wakati alimlilia Dr. Mpango machozi pale bungeni! Ona sasa Mpango alivyomponza mwenzake.

Twendeni kimahesabu kisha tuangalie mwenye kosa ni nani?

Tayari tumekwapua Tshs bilioni 250 za wakulima wa korosho (Export levy)

Tayari tunaenda kununua tani 210,000 za korosho kama serikali (Najua wafanyabiashara katu hawatonunua wakati hakuna faida)

Sasa kwa bei ya Tshs 3000 kwa kilo maana yake serikali inahitaji kununua korosho kwa Tshs bilioni 630. Ukichukua ile Export Levy waliyokwapua ya Tshs bilioni 250 ambayo kimsingi ni fidia kwa wakulima pale soko linapokuwa baya. Hii ndiyo fedha inayotumika kufidia gharama mbalimbali na huongezwa kwenye manunuzi. Maana yake chukua 630 bilioni - 250 bilioni unabakiwa na 380 bilioni. Hizi 380 bilioni ndiyo fedha halisi ambazo serikali itatoa mfukoni mwake kununua korosho.

Sasa Tani 210000 ni sawa na kilo 210,000,000 za korosho

Ukichukua Tshs 380,000,000,000 ukagawa kwa kilo 210,000,0000 unapata Tshs kadirio la juu 1900 kwa kilo.
Hiyo ndiyo bei halisi serikali inayoenda kununulia korosho. Kisha tutakuwa na mapambio ya kila aina wakati mchawi ni Mpango alipoikwapua ile Export Levy!

Pole sana Tizeba ulilia sana pale bungeni kuhusu sakata la export levy na ukamtahadharisha Mpango kuwa anakuweka pagumu kiutendaji ila Mpango akavaa miwani nyeusi! Pale alikuwa anachimba kaburi lako na jana kakuzika rasmi!
Gharama za logistics umeweka?. Hata kama Magari ya Jeshi yatatumika kuna gharama za mafuta, per diems na wear and tear kwa magari....
 
Kwa hiyo wafanya biashara wangenunua korosho hiyo export levy isingechukuliwa, Nyumbu ni nyumbu .
 
Kwa hiyo wafanya biashara wangenunua korosho hiyo export levy isingechukuliwa, Nyumbu ni nyumbu .
Serikali yako ilikuwa inalazimisha wanunuzi wanunue kwa Tshs 3500 kilo wao wakawaambia watoe fungu kidogo kwenye ile export levy ili wafidie hilo pengo JIWE akachomoa. Acha akanunue yeye maana tayari ameshafidia hilo pengo.
 
Back
Top Bottom