Polisi na wao wanazidisha mbwembwe sasa,mpk wamama mnakimbizana nao tu,badala ya kukimbizana na kina mbowe,wanahangaika na wanawake.😂😂Tumevamiwa na askari polisi kwenye ukumbi wa semina ya kuwajengea uwezo Bawacha kanda ya Serengeti
View attachment 1152550
View attachment 1152551
Sikuhizi hatusikii tena habari za majambazi kuvamia sehemu badala Yake tunasikia polisi kuvamiaTumevamiwa na askari polisi kwenye ukumbi wa semina ya kuwajengea uwezo Bawacha kanda ya Serengeti
View attachment 1152550
View attachment 1152551
Huu umati ndio unawatisha bawacha hoyeTumevamiwa na askari polisi kwenye ukumbi wa semina ya kuwajengea uwezo Bawacha kanda ya Serengeti
View attachment 1152550
View attachment 1152551
Samahani mkuu.Polisi acheni hizo kigoma uwt wanaonyeshwa sasa channel ten hao wa mama wamekosa nini yaani Anthony mtaka anaruhusu haya mambo
Tumevamiwa na askari polisi kwenye ukumbi wa semina ya kuwajengea uwezo Bawacha kanda ya Serengeti
View attachment 1152550
View attachment 1152551
View attachment 1152571
Kuna wakati nilidhani Anthony Mtaka sio aina ya maccm haya tuyajuayo kumbe nilihadaika! Wote ni walewale.Polisi acheni hizo kigoma uwt wanaonyeshwa sasa channel ten hao wa mama wamekosa nini yaani Anthony mtaka anaruhusu haya mambo
Wasilojua ni kuwa kuna wanachama wengi wa ccm wanamiliki kadi kwa sababu za kimaslahi lakini ni wa Chadema kimoyoHuwa wanajidanganya na kumdanganya Magufuli kuwa anakubalika mpaka cdm imekufa, wanapoona tofauti inabidi watumie mabomu kuficha ukweli. Jambo ambalo hawafahamu hiyo cdm imeshakubalika na haiwezi kufa kwa ushindani wa kisiasa, labda waifute, na hata wakiifuta haimaanishi wao ccm ndio watakubalika. Ile video ya jana huko Tunduma imewanyima raha sana.
Ndio lengo lako, umedumaa kiakiliPolisi CCM kwisha habari
Na naniIpo siku tutaerewana