Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Mkuu heshima mbele...
Kweli umenikumbusha mbali saaana, lakini inawezekana vipi ukamzungumzia marehemu Momba kisha ukamsahau Hassan Rehani?
Au ukamzungumzia kalala mbwembwe ukawaacha watu kama dr remmy, bushoke, na Cosmas?
Mkuu Gang Chomba,
Nafikiri Balantanda amezungumzia wale ambao tayari ni marehemu. Hao unaowataja wewe bado wako hai!!!
Mkuu Balantanda, heshima mbele mkuu, nimekuvulia kofia, kumbukumbu yako ni kali!!!
Kuna huyu mchezaji wa pamba ambaye alikuwa mzuri sana kwa kupiga penalty. Alikuwa hasogei hata hatua moja nyuma kutoka kwenye mpira lakini hakuna golikipa aliyewahi kudaka penalti yake wala yeye kupiga nje. anayemkumbuka huyu mchezaji atupe jina lake. Nimemkumbuka, alikuwa anaitwa Mao Mkami. Kwa penalti kiki alikuwa mwisho.
Tiba
Tiba