MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,298
Ngumu?Cleopatra 2 msamehe mpenzio mrudishe penzi lenu, kuolewa ni issue ngumu
How?
Ngumu?Cleopatra 2 msamehe mpenzio mrudishe penzi lenu, kuolewa ni issue ngumu
Kanisani kwenu wangapi wanafunga nakuomba ili waolewe na bado hawaolewi?Ngumu?
How?
Swali zuri sanaKanisani kwenu wangapi wanafunga nakuomba ili waolewe na bado hawaolewi?
Nimenuia kumkomesha ili iwe fundisho kwa watu wenye akili kama zake.
Nitakuwa nimekosea? naomba ushauri wenu hasa wanawake wenzangu.
Ni mimi na wengine wachache tuliobakia mkuu.Hongera kwa kujitunza, dah karne hii kukutana na 30+ virgin nitakuacha tu kwa kweli. You are likely to pose more harm in the future, you seem naive..sorry for judging you!
Kaa chini na ex bf myamalize bwana. How does it feel kukumbuka ulimlipisha jamaa 10m aisee, hasira zikipungua utajisikia vibaya. Kwani hukumpenda pamoja na udhaifu wake, kwa nini leo mpishane kwenye corridor za court kwa ujinga huo..please, for his sake, soften your heart, be good to him!! Msamehe yaishe...
Na mimi.Ni mimi na wengine wachache tuliobakia mkuu.
Pamoja na maelezo yako yote lkn kuna mambo ya kuzingatia.
Mleta mada anaweza asiwe mkweli kwenye Maelezo yake kwakuwa ni ya upande mmoja.
Pili huyo mpenzi wake anawezakuwa namapenzi yakweli na alifanya vile kutikisa kiberiti.
Anatakiwa amsamehe na warudiane
Are you serious?Ni mimi na wengine wachache tuliobakia mkuu.
Actually none, infact half of them wameolewa na wengine wamechumbiwa. Na harusi ni kuanzia mwezi ujao.Kanisani kwenu wangapi wanafunga nakuomba ili waolewe na bado hawaolewi?
For real mkuu.Are you serious?
Wow,For real mkuu.
Ni hivi,Kuna ibada nilihudhuria, mchungaji alikuwa mama kutoka South Afirca, alisema kuwa maneno hayo niliyoweka kwenye sex immoral na kuongeza kuwa, unapofanya tendo la ndoa na mtu ambae si mume wako unakuwa umejifunga, sasa kama unabadilisha wanaume kila siku, unazidi kujifunga kila siku.
Ndiyo maana siku hizi wadada wanafunga na kuomba ili vifungo vifunguke wapate wachumba.
Matatizo ujana ni tunda ambalo kila mtu anatako kuliangalia na kulionja. Ukifanikiwa mtihani huo basi wewe ni mshindi.Ni hivi,
Lile ni tendo la ndoa, yaani ni special kwa wana ndoa.
Ni tendo ambalo linaonganisha zile nafsi mbili kuwa kitu kimoja
(mwili mmoja)
Na linapofanyika kwenye ndoa, ni kwamba kuna kuwa na protection kwenye ulimwengu wa roho na pia linakuwa ni Baraka.
Lakini linapofanyika nje ya ndoa au kabla ya ndoa, ule muumgamiko unakuwa ni haramu, na kitu haramu hakina baraka, hivyo mtu anakua anaiangamiza nafsi yake mwenyewe.
Mungu anatupenda sana, na hataki tupate shida. Ndio maana anatuonya sana kuhusiana na ushiriki wa hili tendo, watu wasiahiriki kabla ya ndoa.
Maana ule muunganiko unakua unawatesa, mtu anaweza asione yale mateso, lakini yakaja kumu affect baadae, na aaipoona kwake basi ile dhambi inaenda kuathiri watoto atakao kuja kuzaa.
Ndio pale mtu huzaa mtoto, anakuwa na tabia za ajabu ajabu tuu, mpaka wazazi wanajiuliza . Huyu hii tabia kaitoa wapi? Maana kwenye fAmilia hakuna
Kumbe ni matunda ya lile tendo na ule muunganiko mke au mume ambao aliufanya huko zamani.
Au unakuta mtumzima lakini maisha yake bado hajaseto, yupo yupo tuu.
Anaoa, anaacha. Au kuachika.
Just ilimradi tuu.
Au wadada, unakuta hawawezi kudumu kwenye uchumba au mahusiano, baada ya muda huvunjika etc.
Source inakua nguvu ya ile dhambi.
Vijana tujitunze!
Na njia ni moja yakuweza kushinda. Ni kukaa ndani ya Neno la Mungu, na Neno la Mungu ndani yangu basi.Matatizo ujana ni tunda ambalo kila mtu anatako kuliangalia na kulionja. Ukifanikiwa mtihani huo basi wewe ni mshindi.
nadhani anatakiwa alipe iyo 10m for defamation.ww umeona kunakesi ya madai hapo kataja, mm sijasoma sheria ila kunavitu tuu unatakiwa uvielewe au ww umeona kunasehemu amesema alifungua kesi mbili ya jinai na ya madai. yeye kasema baada ya kutolewa hukumu ya eidha jamaa kulipa sh. 2 au kwenda jela miezi 6 na jamaa kalipa faini ndo kesi ya gharama zake za kuendesha kesi ya kwanza kaenda fungua na jamaa anatakiwa kulipa mil 10. ndo nmeuliza gharama zipi alitumia ktk criminal kesi. ficha ujinga wako
Mmmmh, sky bwana!Ni mimi na wengine wachache tuliobakia mkuu.