[HASHTAG]#freemaxencemelo[/HASHTAG]
Watanzania tunakosa umoja, kila kundi linakaa kulalamika lenyewe. Hata kutokea mahakamani kwa wingi Ijumaa tumeshindwa... Ijumaa ilitakiwa iwe mafuriko ya watu mahakamani na hadi Sizonje apelekewe habari.
[HASHTAG]#Freemaxencemelo[/HASHTAG]
Nafikiri ni Kweli Mwenge ni uchawi na watanzania tumekuwa mazuzu.....it is Satan...
Viongozi wa dini wafanye maombi
Kuna masuala mengi yamepita kwa urahisi na ni ya kidhalimu.
-Mswada wa habari
-Mikopo ya wanafunzi
-FAO La Kujitoa
-Sheria ya mtandao
-Jamii forum Director (tumeshindwa kwenda mahakamani kwa wingi).
J3, Watanzania muhamasishane mwende mahakamani kwa wingi, OK? wangapi wanaafiki?
Viva JF
Aluta Continue
Watanzania tunakosa umoja, kila kundi linakaa kulalamika lenyewe. Hata kutokea mahakamani kwa wingi Ijumaa tumeshindwa... Ijumaa ilitakiwa iwe mafuriko ya watu mahakamani na hadi Sizonje apelekewe habari.
[HASHTAG]#Freemaxencemelo[/HASHTAG]
Nafikiri ni Kweli Mwenge ni uchawi na watanzania tumekuwa mazuzu.....it is Satan...
Viongozi wa dini wafanye maombi
Kuna masuala mengi yamepita kwa urahisi na ni ya kidhalimu.
-Mswada wa habari
-Mikopo ya wanafunzi
-FAO La Kujitoa
-Sheria ya mtandao
-Jamii forum Director (tumeshindwa kwenda mahakamani kwa wingi).
J3, Watanzania muhamasishane mwende mahakamani kwa wingi, OK? wangapi wanaafiki?
Viva JF
Aluta Continue