Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Kama wote mpo fresh hayo ni mabadiliko ya kimazingira tu..embu fanyeni karafuu kuwa chai yenu ndani miezi kadhaa mpate huyo mtotoBila kuongea Wala kupunguza Daktari alisema tuko vizuri Sana,labda Kama Kuna mambo ya giza.