Tumeseme ukweli Nani anatetea wezi wa Madini yetu Tanzania?

Mzalendo2015

JF-Expert Member
Aug 14, 2012
6,697
9,048
Wana JF na Watz wote,
Ukweli lazima usemwe ili kuweka bayana ya kile kinachoendelea kuhusu mgogoro wa Makinikia na wezi wa Dhahabu yetu kati ya Wabunge wa CCM na wale wa UKAWA.
Inasikitisha kuwa Serikali ya JPM na Wabunge wa CCM hivi sasa wanajaribu kuwashambulia Wabunge wa Upinzani kuwa ndio wanaotetea wezi wa Madini na Raslimali za nchi yetu ilhali ukweli ni kinyume chake. Nina hoja zifuatazo zenye kuthibitisha hilo:
  1. Mikataba na sheria zote za wawekezaji wa Madini zililetwa Bungeni kwa HATI YA DHARURA na kupitishwa na CCM kwa uwingi wao wa KURA za NDIYOOOOOOOOOOOOOOOO!
  2. Kamati ya Osoro imetaja Mawaziri wastahafu na waliop kazini, Wanasheria Wakuu, Makamishina na Wasaidizi wao wote kutoka Serikali ya CCM hakuna mpinzani hata 1.
  3. Rais Magufuli naye ameendelea kutetea wezi wa Dhahabu na Makinikia kwa kuwakingia kifua Marais waliopita Mkapa na Kikwete kwa kuzuia media zisiwaguse ati walifanya kazi nzuri sana.
  4. Rais ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kujaribu kuwalinda na kuwatetea Viongozi ambao walihusika kwa njia moja au nyingine katika kuingia Mikataba hii ya kinyonyaji.
  5. Haingii akilini hata kidogo kusema Waziri wa Madini, Mwanasheria Mkuu na Kamishina wa Madini ndio walihusika na Mikataba mibovu ya Madini lakini Rais hahusiki. Miswada yote ya Sheria zilizopelekwa Bungeni kwa Hati ya Dharura haziwezi kuwa sheria mpaka RAIS AWE AMESAINI.Hivo sheria zote zinazotumika kwenye Mikataba hii zina signature za Marais hawa.
  6. Wabunge wote waliosimama Bungeni vipindi hivo kupinga au kuhoji Mikataba na Sheria hizombovu waliishia KUFUKUZWA BUNGENI wakiwemo Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Mnyika na wengineo.
  7. Anachofanya Rais Magufuli kwa sasaa ni kuwalaghai Watz kuwa anatetea Madini lakini kiuhalisia siyo kweli. Huwezi kumshtaki Waziri, Kamishina au Mwanasheria wakti alifanya hivo kwa maelekezo ya Mkuu wa nchi.
  8. Kinachotakiwa sasa ni CCM na Serikali yao wakiri Makosa, watubu na waombe msamaha kwa Watanzania na waungane na UKAWA kuanza kuboresha sheria ya Madini.
 
Hujuhi nchi inavyoendeshwa ni bora ukae kimya. Nchi siyo kilabu, nchi ina misingi na kila nchi imejengwa katika misingi yake navsababu zake zipo ila hutazijua hadi siku uiwa kwenye miduara inayoongoza nchi.
 
Hujuhi nchi inavyoendeshwa ni bora ukae kimya. Nchi siyo kilabu, nchi ina misingi na kila nchi imejengwa katika misingi yake navsababu zake zipo ila hutazijua hadi siku uiwa kwenye miduara inayoongoza nchi.

Rafiki,
Maneno yako yanaonesha jinsi ulivo mtupu kichwani!!!
Wewe kwa IQ za kuku unafikiri nchi inaongozwa kwa misingi ipi zaidi ya KATIBA YA NCHI??? Tunajua CCM mlikataa KATIBA PENDEKEZWA ili muendelee KUTUIBIA MADINI YETU MKISHIRIKIANA NA HAO WEZI WENZENU!! ais JPM munayemshangilia kwa makelele ya kumwunga mkono kesha zuia Mkapa na Kiwete wasijadiliwe. Sasa nani anayetetea wezi kama siyo Magufuli?Hapo ulipo umefanya nini kuhusu kulinda Madini yetu zaidi ya kupiga meza na kuropoka ndiyoooo au kuunga mkono hoja hata kwa mambo ya kipuuzi yanayoliangamiza taifa??? Crap.
 
Wako wa kunikamata ila wakunifunga Hakuna.

Nanukuu : Nilitia sahihi kweli kama ripoti inavyodai ila kwa maagizo ya boss wangu sasa tatizo liko wapi kwangu?

Aliyetuagiza sisi kutia sahihi ndiye boss huyo huyo aliyemwagiza yeye kuuza nyumba za umma na kama ni kesi zinafanana. Am not stupid to sign agreement without a security.

By Chenge
 
nchi inaongozwa kwa kiki,siasa sawa na makinikia,wanagombea "font fed'' ili wauze kwenye uhuru,habari leo,mzalendo
 
Wako wa kunikamata ila wakunifunga Hakuna.

Nanukuu : Nilitia sahihi kweli kama ripoti inavyodai ila kwa maagizo ya boss wangu sasa tatizo liko wapi kwangu?

Aliyetuagiza sisi kutia sahihi ndiye boss huyo huyo aliyemwagiza yeye kuuza nyumba za umma na kama ni kesi zinafanana. Am not stupid to sign agreement without a security.

By Chenge

Chezea mzee wa Vijisenti wewe!!!
Huyu Mnyantuzu anatisha na Sheria anazijua bara-bara. Namshauri Magufuli na Usukuma wake wa kishambashamba toka Geita asijaribu kumshtaki Chenge maana ataangukia pua na hakika atatolewa kamasi. Kuna imani kwamba Wasukuma wa kutoka Ntuzu(Simiyu)ndiyo wajanja sana kuliko Wasukuma wanaotokea Mwanza, Shinyanga, Kahama mpaka Tobora huko. Ogopa kabisa mtu anayeitwa Mnyantuzu hasa linapokuja swala la Kiuchumi iwe ni Dhahabu ya Makinikia, Dhahabu Nyeupe(Pamba),Ng'ombe au Vijisenti!!!
 
Wana JF na Watz wote,
Ukweli lazima usemwe ili kuweka bayana ya kile kinachoendelea kuhusu mgogoro wa Makinikia na wezi wa Dhahabu yetu kati ya Wabunge wa CCM na wale wa UKAWA.
Inasikitisha kuwa Serikali ya JPM na Wabunge wa CCM hivi sasa wanajaribu kuwashambulia Wabunge wa Upinzani kuwa ndio wanaotetea wezi wa Madini na Raslimali za nchi yetu ilhali ukweli ni kinyume chake. Nina hoja zifuatazo zenye kuthibitisha hilo:
  1. Mikataba na sheria zote za wawekezaji wa Madini zililetwa Bungeni kwa HATI YA DHARURA na kupitishwa na CCM kwa uwingi wao wa KURA za NDIYOOOOOOOOOOOOOOOO!
  2. Kamati ya Osoro imetaja Mawaziri wastahafu na waliop kazini, Wanasheria Wakuu, Makamishina na Wasaidizi wao wote kutoka Serikali ya CCM hakuna mpinzani hata 1.
  3. Rais Magufuli naye ameendelea kutetea wezi wa Dhahabu na Makinikia kwa kuwakingia kifua Marais waliopita Mkapa na Kikwete kwa kuzuia media zisiwaguse ati walifanya kazi nzuri sana.
  4. Rais ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kujaribu kuwalinda na kuwatetea Viongozi ambao walihusika kwa njia moja au nyingine katika kuingia Mikataba hii ya kinyonyaji.
  5. Haingii akilini hata kidogo kusema Waziri wa Madini, Mwanasheria Mkuu na Kamishina wa Madini ndio walihusika na Mikataba mibovu ya Madini lakini Rais hahusiki. Miswada yote ya Sheria zilizopelekwa Bungeni kwa Hati ya Dharura haziwezi kuwa sheria mpaka RAIS AWE AMESAINI.Hivo sheria zote zinazotumika kwenye Mikataba hii zina signature za Marais hawa.
  6. Wabunge wote waliosimama Bungeni vipindi hivo kupinga au kuhoji Mikataba na Sheria hizombovu waliishia KUFUKUZWA BUNGENI wakiwemo Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Mnyika na wengineo.
  7. Anachofanya Rais Magufuli kwa sasaa ni kuwalaghai Watz kuwa anatetea Madini lakini kiuhalisia siyo kweli. Huwezi kumshtaki Waziri, Kamishina au Mwanasheria wakti alifanya hivo kwa maelekezo ya Mkuu wa nchi.
  8. Kinachotakiwa sasa ni CCM na Serikali yao wakiri Makosa, watubu na waombe msamaha kwa Watanzania na waungane na UKAWA kuanza kuboresha sheria ya Madini.
Unapata shida bure kuwaza swali kama hilo pombe mjanja kama wajanja wengine kwann anaweka mipaka ya wezi


Analo pake pia ndio maana anaziiya kikwete na mkapa kuguswa

Aliuza nyumba kwa kugawa bila kufuata sheria

Tuliingia hasara kubwa kihusu samaki unawaza nini hapo
 
Mkuu CCM WAMEJISAHAULISHA kama kawaida yao kama ilikuwa hujui huwa wanafanya siasa za msimu na hawana misimamo zaidi ya mihemko! Wanadandia hoja ambazo huwa hawana masulihisho yake. Mfano ELIMU BURE!! Sasa wamedandia la MADINI wanaona waliopigania na wanaotaka makosa yasifanyike hawajui kitu ila wao ndio wenyewe
 
Rafiki,
Maneno yako yanaonesha jinsi ulivo mtupu kichwani!!!
Wewe kwa IQ za kuku unafikiri nchi inaongozwa kwa misingi ipi zaidi ya KATIBA YA NCHI??? Tunajua CCM mlikataa KATIBA PENDEKEZWA ili muendelee KUTUIBIA MADINI YETU MKISHIRIKIANA NA HAO WEZI WENZENU!! ais JPM munayemshangilia kwa makelele ya kumwunga mkono kesha zuia Mkapa na Kiwete wasijadiliwe. Sasa nani anayetetea wezi kama siyo Magufuli?Hapo ulipo umefanya nini kuhusu kulinda Madini yetu zaidi ya kupiga meza na kuropoka ndiyoooo au kuunga mkono hoja hata kwa mambo ya kipuuzi yanayoliangamiza taifa??? Crap.
Uko hivyo kwasababu ya ulivyo. Na yawezekana wengine mna mpaka vyeti vya ubishi sie tukuweze wapi weye? Ungejitahidi ukawauliza waliokuzidi kimo walau ungeambulia hata tonge sasa kijiko tu kimekushinda utaweza matonge?

Na, acha nikuonye na nikusaidie. Nilivyokujibu sikukutukana tofauti na ulivyokuja kujibu hoja yangu kwa kupanic. Na si ajabu ukawa mdogo wangu kwa mbali sana pia, jifunze kushindana kwa hoja na jitahidi kwa usichokijua kutaka kukijua kwanza. Naweza hata kuwa lecturer wako na ukanisikiliza usione tuko humu Jf kana kwamba tumeletwa kwa kushikwa mikono.

Sasa kasome na uelewe si kukakaa unakurupuka tu hovyo, umesema KATIBA. Unaelewa ni vitu gani duniani kote vinazingatiwa katika kuitengeneza hiyo katiba. Ama, Unaweza ukajua ni kwanini katiba ya Tz si sawa na ile ya US ama Iran?
 
Bado nasubiri mpambano wa masaju na chenge pale kisutu!
Ila najua mmoja kati yao hata tukimbebea mtutu wa bunduki haendi....
 
Unapata shida bure kuwaza swali kama hilo pombe mjanja kama wajanja wengine kwann anaweka mipaka ya wezi


Analo pake pia ndio maana anaziiya kikwete na mkapa kuguswa

Aliuza nyumba kwa kugawa bila kufuata sheria

Tuliingia hasara kubwa kihusu samaki unawaza nini hapo

mjukuum,
Uko sahihi kabisa,
Ni kweli John Pombe Magufuli hana ujanja wowote katika hili la Makinikia. Anachofanya ni kuwazuga akili Watz ili aonekana anatetea madini yetu wakti si kweli. Kama angelikuwa mjanja basi angeanza na Mkapa na Kikwete. Hapo mie ningelikuwa tayari kumvulia kofia.
 
Wana JF na Watz wote,
Ukweli lazima usemwe ili kuweka bayana ya kile kinachoendelea kuhusu mgogoro wa Makinikia na wezi wa Dhahabu yetu kati ya Wabunge wa CCM na wale wa UKAWA.
Inasikitisha kuwa Serikali ya JPM na Wabunge wa CCM hivi sasa wanajaribu kuwashambulia Wabunge wa Upinzani kuwa ndio wanaotetea wezi wa Madini na Raslimali za nchi yetu ilhali ukweli ni kinyume chake. Nina hoja zifuatazo zenye kuthibitisha hilo:
  1. Mikataba na sheria zote za wawekezaji wa Madini zililetwa Bungeni kwa HATI YA DHARURA na kupitishwa na CCM kwa uwingi wao wa KURA za NDIYOOOOOOOOOOOOOOOO!
  2. Kamati ya Osoro imetaja Mawaziri wastahafu na waliop kazini, Wanasheria Wakuu, Makamishina na Wasaidizi wao wote kutoka Serikali ya CCM hakuna mpinzani hata 1.
  3. Rais Magufuli naye ameendelea kutetea wezi wa Dhahabu na Makinikia kwa kuwakingia kifua Marais waliopita Mkapa na Kikwete kwa kuzuia media zisiwaguse ati walifanya kazi nzuri sana.
  4. Rais ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kujaribu kuwalinda na kuwatetea Viongozi ambao walihusika kwa njia moja au nyingine katika kuingia Mikataba hii ya kinyonyaji.
  5. Haingii akilini hata kidogo kusema Waziri wa Madini, Mwanasheria Mkuu na Kamishina wa Madini ndio walihusika na Mikataba mibovu ya Madini lakini Rais hahusiki. Miswada yote ya Sheria zilizopelekwa Bungeni kwa Hati ya Dharura haziwezi kuwa sheria mpaka RAIS AWE AMESAINI.Hivo sheria zote zinazotumika kwenye Mikataba hii zina signature za Marais hawa.
  6. Wabunge wote waliosimama Bungeni vipindi hivo kupinga au kuhoji Mikataba na Sheria hizombovu waliishia KUFUKUZWA BUNGENI wakiwemo Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Mnyika na wengineo.
  7. Anachofanya Rais Magufuli kwa sasaa ni kuwalaghai Watz kuwa anatetea Madini lakini kiuhalisia siyo kweli. Huwezi kumshtaki Waziri, Kamishina au Mwanasheria wakti alifanya hivo kwa maelekezo ya Mkuu wa nchi.
  8. Kinachotakiwa sasa ni CCM na Serikali yao wakiri Makosa, watubu na waombe msamaha kwa Watanzania na waungane na UKAWA kuanza kuboresha sheria ya Madini.
Kuna mijitu akili zao ni kama Mende, Toka uhuru nchi imeongozwa na CCM.
Mazuri na mabaya yote yalifanywa na Serikali ya CCM.
Unavyokuja kutaja mawazir wa sheria, madini mawaziri wakuu usitegemee walikuwa CHADEMA.
Trust Magufuli, CCM mpya na Tanzania mpya zinakuja
 
Wana JF na Watz wote,
Ukweli lazima usemwe ili kuweka bayana ya kile kinachoendelea kuhusu mgogoro wa Makinikia na wezi wa Dhahabu yetu kati ya Wabunge wa CCM na wale wa UKAWA.
Inasikitisha kuwa Serikali ya JPM na Wabunge wa CCM hivi sasa wanajaribu kuwashambulia Wabunge wa Upinzani kuwa ndio wanaotetea wezi wa Madini na Raslimali za nchi yetu ilhali ukweli ni kinyume chake. Nina hoja zifuatazo zenye kuthibitisha hilo:
  1. Mikataba na sheria zote za wawekezaji wa Madini zililetwa Bungeni kwa HATI YA DHARURA na kupitishwa na CCM kwa uwingi wao wa KURA za NDIYOOOOOOOOOOOOOOOO!
  2. Kamati ya Osoro imetaja Mawaziri wastahafu na waliop kazini, Wanasheria Wakuu, Makamishina na Wasaidizi wao wote kutoka Serikali ya CCM hakuna mpinzani hata 1.
  3. Rais Magufuli naye ameendelea kutetea wezi wa Dhahabu na Makinikia kwa kuwakingia kifua Marais waliopita Mkapa na Kikwete kwa kuzuia media zisiwaguse ati walifanya kazi nzuri sana.
  4. Rais ameonyesha udhaifu mkubwa kwa kujaribu kuwalinda na kuwatetea Viongozi ambao walihusika kwa njia moja au nyingine katika kuingia Mikataba hii ya kinyonyaji.
  5. Haingii akilini hata kidogo kusema Waziri wa Madini, Mwanasheria Mkuu na Kamishina wa Madini ndio walihusika na Mikataba mibovu ya Madini lakini Rais hahusiki. Miswada yote ya Sheria zilizopelekwa Bungeni kwa Hati ya Dharura haziwezi kuwa sheria mpaka RAIS AWE AMESAINI.Hivo sheria zote zinazotumika kwenye Mikataba hii zina signature za Marais hawa.
  6. Wabunge wote waliosimama Bungeni vipindi hivo kupinga au kuhoji Mikataba na Sheria hizombovu waliishia KUFUKUZWA BUNGENI wakiwemo Tundu Lissu, Zitto Kabwe, John Mnyika na wengineo.
  7. Anachofanya Rais Magufuli kwa sasaa ni kuwalaghai Watz kuwa anatetea Madini lakini kiuhalisia siyo kweli. Huwezi kumshtaki Waziri, Kamishina au Mwanasheria wakti alifanya hivo kwa maelekezo ya Mkuu wa nchi.
  8. Kinachotakiwa sasa ni CCM na Serikali yao wakiri Makosa, watubu na waombe msamaha kwa Watanzania na waungane na UKAWA kuanza kuboresha sheria ya Madini.
Hao hao viongozi wetu!!
 
Kuna mijitu akili zao ni kama Mende, Toka uhuru nchi imeongozwa na CCM.
Mazuri na mabaya yote yalifanywa na Serikali ya CCM.
Unavyokuja kutaja mawazir wa sheria, madini mawaziri wakuu usitegemee walikuwa CHADEMA.
Trust Magufuli, CCM mpya na Tanzania mpya zinakuja

Talking non sense g&Y!!!
Mfumo wa Multipartism ulianza 1995. Before tulikuwa na Unipartism tokea Baba wa Taifa Mwl Nyerere(RIP) na baadaye Mzee Mwinyi 1985-1995.
Now tell me tokea hiyo 1961-1995 kulitokea lini wizii wa DHAHABU na MAKINIKIA???Tuseme ukweli Baba wa Taifa wala Mzee Mwinyi hakuna aliyefanya Biashara kushirikaina na wezi wa Dhahabu. Mwalimu aliwahi kusema kwamba nchi alikuwa ameyaachia MANYANG'AU yaliyoingia kuanzia 1995-2005( Mkapa-CCM) na 2005-2015(Kikuete-CCM) na 2015-x(Magufuli-CCM).
Tunataka CHADEMA nao wakamate nchi ili tuondokane na huu mfumo wa chama ng'ang'anizi ili kuleta tofauti. Huwezi kuanza kuilaumu CHADEMA wakti kila Chaguzi zikifanyika kila mbinu zinafanywa ili kuhakikisha CHADEMA hawaingii Ikulu.
Let it be a Free and Fair Election and see what gonna happen.
 
Wako wa kunikamata ila wakunifunga Hakuna.

Nanukuu : Nilitia sahihi kweli kama ripoti inavyodai ila kwa maagizo ya boss wangu sasa tatizo liko wapi kwangu?

Aliyetuagiza sisi kutia sahihi ndiye boss huyo huyo aliyemwagiza yeye kuuza nyumba za umma na kama ni kesi zinafanana. Am not stupid to sign agreement without a security.

By Chenge
CCM imekosa mandate ya kutawala ingelikuwa Korea Kusini Maraisi wote wastaavu to move directly to JAIL na most likely wangefungwa maisha au kitanzi.
Hivi tunavyokwenda kuomba misaada nchi wahisani zinatuonaje?
Hivi mnataka tuendelea kuwalipa maraisi wezi pension sababu eti Magufuri anawaenzi hao wezi?
 
CCM imekosa mandate ya kutawala ingelikuwa Korea Kusini Maraisi wote wastaavu to move directly to JAIL na most likely wangefungwa maisha au kitanzi.
Hivi tunavyokwenda kuomba misaada nchi wahisani zinatuonaje?
Hivi mnataka tuendelea kuwalipa maraisi wezi pension sababu eti Magufuri anawaenzi hao wezi?
Wanatuona WASENGEnyaji
 
Back
Top Bottom