tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Usipokubali kukosorewa hautajifunza mambo mapya zaidi ya yale uyajuayo.
Daima utabaki kwenye mawazo yale yale kila siku.
Hauwezi kuwa kiongozi ukajua kila kitu.
Jitahidi kukubali kukosorewa.
Daima utabaki kwenye mawazo yale yale kila siku.
Hauwezi kuwa kiongozi ukajua kila kitu.
Jitahidi kukubali kukosorewa.