Jatropha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2009
- 1,151
- 199
Ukosefu wa ajira hususan miongoni mwa vijana ni tatizo linalokua kwa kasi sana ambapo kila mwaka takribani vijana 700,000 huingia katika soko la ajira ilihali kati ya mwaka 2005 hadi 2008 nafasi za ajira zilizotengenzwa zilikuwa ni Milioni 1.1 tu.
Katika Bara za la Mawaziri lilopita masuala ya Vina yalikuwa chini ya Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana. Lakini katika Baraza jipya masuala ya vijana yamehamishiwa katika Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kana kwamba shughuli pekee ya kumuendeleza kijana wa Tanzania ni mambo ya michezo na utamaduni tu?
Nini maoni yako?
Katika Bara za la Mawaziri lilopita masuala ya Vina yalikuwa chini ya Wizara ya Kazi, Ajira na Maendeleo ya Vijana. Lakini katika Baraza jipya masuala ya vijana yamehamishiwa katika Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kana kwamba shughuli pekee ya kumuendeleza kijana wa Tanzania ni mambo ya michezo na utamaduni tu?
Nini maoni yako?