Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Rais gani?
Nchi inateketea. Amejikunyata tu kama kuku wa mdondo?
Kikwete unaniudhi.
Kweli sikukupigia kura lakini ninaamii hata waliokupa kura wanajuta kimyakimya.
Rais gani unasubiri watu wakuandikie cha kusema kwenye makaratasi ndo useme?
Kama huwezi kuongoza achia ngazi bwana weeeeeeee!!
Urais huuwezi JK achia ngazi!!!
Nchi inateketea. Amejikunyata tu kama kuku wa mdondo?
Kikwete unaniudhi.
Kweli sikukupigia kura lakini ninaamii hata waliokupa kura wanajuta kimyakimya.
Rais gani unasubiri watu wakuandikie cha kusema kwenye makaratasi ndo useme?
Kama huwezi kuongoza achia ngazi bwana weeeeeeee!!
Urais huuwezi JK achia ngazi!!!