Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Sakata la Ben Saanane linaendelea vipi? Amepotea baada ya kupelekewa msg ya vitisho kutoka kwa serikali according to Tundu Lissu.
Amejipoteza nwenyewe kwa sababu slikuwa na special assignment amepewa na chama chake,according to another source.
Why all this misinformation peddling?
Sasa kwa mfano ukiambiwa Katibu Mkuu wa Chadema alikuwa porini anatoa certificate kwa watu wamehitimu mafunzo, halafu ghafla miili sits ilipatikana maeneo hayo hayo. If you piece that information together, what do you get? Kwamba nilikuwa kuna party kule msituni ambayo ilikuwa interrupted?
Nilikuwa nasema gazeti la Mwananchi sasa hivi. Wameandika;
Miili sita ilionekana siku ya kwanza. Kesho take ukaonekana mwili mwingine.
Miili sita imezikwa pale in shallow graves,makaburi ambayo yanatambulika kwa nzi waliopo pale.
Mwili mmoja polisi wameondoka nao.
Halafu[this is interesting] OCD wa kule anasema wameipata hiyo miili lakini mpaka sasa hawajamkamata mshukiwa yoyote wa mauaji. PIA HAKUNA MLALAMIKAJI.
Amejipoteza nwenyewe kwa sababu slikuwa na special assignment amepewa na chama chake,according to another source.
Why all this misinformation peddling?
Sasa kwa mfano ukiambiwa Katibu Mkuu wa Chadema alikuwa porini anatoa certificate kwa watu wamehitimu mafunzo, halafu ghafla miili sits ilipatikana maeneo hayo hayo. If you piece that information together, what do you get? Kwamba nilikuwa kuna party kule msituni ambayo ilikuwa interrupted?
Nilikuwa nasema gazeti la Mwananchi sasa hivi. Wameandika;
Miili sita ilionekana siku ya kwanza. Kesho take ukaonekana mwili mwingine.
Miili sita imezikwa pale in shallow graves,makaburi ambayo yanatambulika kwa nzi waliopo pale.
Mwili mmoja polisi wameondoka nao.
Halafu[this is interesting] OCD wa kule anasema wameipata hiyo miili lakini mpaka sasa hawajamkamata mshukiwa yoyote wa mauaji. PIA HAKUNA MLALAMIKAJI.