Tumelamba Garasha

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Kwa wale wacheza karata wanajua maana ya kulamba dume kunavyoweza kuathiri mchezo mzima na kupelekea ushindi. Ila Ukilamba magarasha lazima upate maumivu ya kupoteza mchezo mzima wa karata hata kama utakuwa na jockeri moja na magarasha matupu. Nimeanzia mbali nikijaribu kuangalia ahadi na utekelezaji wa kile alichokuwa akikisimamamia Mh Mwenyekiti wa CCM wakati wa uchaguzi uliopita. Ninapata wasi wasi na IQ yake kwa kile alichokuwa akikisema, Nimeongezea ahadi ya 70 ambayo iko wazi lazima ataitekeleza tena kwa mbwe mbwe.

1.Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
2.Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
3.Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
4.Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
5.Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
6.Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
7.Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
8.Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
9.Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
10.Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
11.Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
12.Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
13.Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
14.Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
15.Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
16.Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
17.Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18.Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
19.Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum
20.chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
21.Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
22.Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
23.Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
24.Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
25.Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
26.Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
27.Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
28.Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
29.Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
30.Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na
31.kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
32.Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
33.Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
34.Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
35.Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
36.Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
37.Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa -Musoma
38.Kulinda haki za walemavu - Makete
39.Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
40.Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
41.Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
42.Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
43.Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
44.Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
45.Kuwafidia wanakijiji ng’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
46.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
47.Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
48.Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
49.Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
50.Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
51.Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
52.Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
53.Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
54.Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
55.Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
56.Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
57.Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi - Ifunda
58.Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
59.Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
60.Kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii – Kibandamaiti Mjini Zanzibar
61.Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa – Kibandamaiti mjini Zanzibar
62.Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
63.Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
64.Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
65.Kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
66.Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
67.Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
68.Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
69.Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
70. Kufuata utawala wa kisheria wa kutii mamlaka za kimataifa hata kama mchakato wa DOWANS umejaa utapeli, lazima tuwalipe ili Rostam asifanye nchi isitawalike.


Sisiti kukuona wewe Mkwere ni kama garasha kwa hizi ahadi zako.
 
Karibu Mchungaji, na pole na matatizo, naona umeingia kivingine kabisa

Mkuu hivi unapoteza muda kuangalia hizo ahadi za huyo jamaa, mbona kuna mambo mengi ya kuyazungumza na kupanga mikakati ya kuchukua nji hii, nadhani ukimdiscus huyo jamaa na wewe utakuwa ni level moja na yeye, mijadala hiyo hiyo ina wenyewe (MS nk)
 
LAZIMA ALIPE HANA UJANJA AKIKATAA MAMBO YATAKUWA MABAYA ZAIDI CCM WANA TELELEZA ILANI YAO KWA ASILIMIA MIA PALE WANAPOWAKUMBATIA MAFISADI NA WEZI ILA KWA ASILIMIA SIFURI KWA WATANZANIA HASA WA MONDULI NA IGUNGa
 
Reverend Masanilo welcome home mkuu!

Kaka hiyo ahadi namba moja inanihusu sana kifamilia na kibiashara/uchumi tatizo langu ni kwamba nilishaondoa matumaini kwa Mkuu wa nchi labda kama unatokea muujiza sawa tutaipokea hiyo reli kwa furaha.

Mkubwa mwenzio akiamua kukudanganya ujue amekudharau, nami nahesabu alitudharau na anaendelea kufanya hivyo!
 
Reverend Masanilo welcome home mkuu!

Kaka hiyo ahadi namba moja inanihusu sana kifamilia na kibiashara/uchumi tatizo langu ni kwamba nilishaondoa matumaini kwa Mkuu wa nchi labda kama unatokea muujiza sawa tutaipokea hiyo reli kwa furaha.

Mkubwa mwenzio akiamua kukudanganya ujue amekudharau, nami nahesabu alitudharau na anaendelea kufanya hivyo!

Hi dharau kubwa sana! Tunajua cha kufanya Ben Ali nguvu ya Umma ilimwangukia na sasa upepo unaelekea kwa Hussein Mubarak! Natamani na sisi tumtoe mkwere na dharau zake hizi. Sidhani akama anajua kuwa tunajua anatudharau
 
Kwa wale wacheza karata wanajua maana ya kulamba dume kunavyoweza kuathiri mchezo mzima na kupelekea ushindi. Ila Ukilamba magarasha lazima upate maumivu ya kupoteza mchezo mzima wa karata hata kama utakuwa na jockeri moja na magarasha matupu. Nimeanzia mbali nikijaribu kuangalia ahadi na utekelezaji wa kile alichokuwa akikisimamamia Mh Mwenyekiti wa CCM wakati wa uchaguzi uliopita. Ninapata wasi wasi na IQ yake kwa kile alichokuwa akikisema, Nimeongezea ahadi ya 70 ambayo iko wazi lazima ataitekeleza tena kwa mbwe mbwe.

1.Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
2.Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda - Tanga mjini
3.Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria - Igunga
4.Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga (SHIRECU) - Shinyanga
5.Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini - Dodoma
6.Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono - Dodoma mjini
7.Kuwapatia trekta wakulima - Kata ya Mrijo, Dodoma
8.Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi - Kagera
9.Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi - Kagera
10.Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba - Bukoba Mjini
11.Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma - Kigoma Mjini
12.Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda - Kagera
13.Mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
14.Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu - Kagera
15.Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino - Mbeya
16.Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba - Kagera
17.Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18.Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika - Mwanza
19.Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum
20.chenye vifaa kupambana na wahalifu - Mwanza
21.Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani - Geita
22.Kulinda muungano kwa nguvu zote - Pemba
23.Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa - Morogoro
24.Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa - Mbeya mjini
25.Kujenga bandari Kasanga – Rukwa
26.Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
27.Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira - Mbeya
28.Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama - Tanga
29.Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini - Iringa
30.Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani – Kihurio na
31.kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
32.Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
33.Kuboresha barabara za Igunga - Tabora
34.Kusambaza walimu 16,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
35.Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya - Mbeya Mjini
36.Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MHN) - Hydom Manyara
37.Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini, kikabila na kisiasa -Musoma
38.Kulinda haki za walemavu - Makete
39.Kujenga baabara ya Njombe - Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
40.Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha
41.Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
42.Kujenga barabara ya lami Manyoni-Kigoma – Kaliua,Tabora
43.Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
44.Kuboresha barabara ya Handeni, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
45.Kuwafidia wanakijiji ng'ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
46.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
47.Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha – Arusha mjini
48.Kukopesha wavuvi zana za kilimo - Busekera, Wilaya ya Musoma
49.Kuwapatia maji wakazi wa Wilaya ya Longido - Longido
50.Kujenga barabara ya lami kupitia pembezoni mwa Hifadhi ya Taifa ya Seregenti – Ngorongoro
51.Utekelezaji wa mpango wa maendeleo ya kilimo kuwasaidia wafugaji kuweza kupata na kutunza mifugo yao vizuri - Mbulu mkoani Manyara
52.Kusambaza maji nchi nzima - Babati vijijini
53.Kusambaza umeme, utoaji wa huduma za afya, na uboreshaji wa kilimo cha umwagiliaji na utoaji ruzuku kwa wakulima. mwaka 2010-2015 - Babati vijijini
54.Kuongeza mara tatu idadi ya wananchi wanaonufaika na ruzuku ya pembejeo za kilimo kwa mfumo wa vocha - Iringa
55.Kuhakikisha Isimani inapata maji ya uhakika - Iringa
56.Kuiwekea lami barabara inayokwenda katika Hifadhi ya Taifa ya Ruaha, ambayo ndiyo hifadhi kubwa kuliko zote Tanzania - Iringa
57.Kulinda usalama wa wananchi kwa ujumla ili kudumisha amani na sifa ya nchi - Ifunda
58.Kutokomeza malaria 2015 - Bunda, mkoa wa Mara
59.Kuwapa wanawake nafasi zaidi - Kilolo, Iringa
60.Kuisadia Zanzibar kuendeleza miradi mbalimbali ya kijamii – Kibandamaiti Mjini Zanzibar
61.Kuipandisha hadhi hospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar kuwa ya rufaa – Kibandamaiti mjini Zanzibar
62.Kuisaidia Zanzibar kila panapohitajika msaada - Kibandamaiti
63.Serikali kujenga upya bandari ya Mbambabay - Ruvuma
64.Ununuzi wa Meli mpya yenye uwezo wa kubeba tani 400 - Mbambabay Ruvuma
65.Kufufua chama kikuu cha ushirika cha wakulima wa Mbinga (MBICU) – Ruvuma
66.Ahadi Rais wa Marekani Barack Obama kuimwagia misaada Tanzania – Ruvuma
67.Ahadi hakutakuwa na umwagaji wa damu baada ya uchaguzi-Dar es Salaam
68.Mtwara kuwa mji wa Viwanda – Mtwara
69.Ahadi ujenzi wa kwanda cha dawa ya kuua viluilui vya mbu - Kibaha
70. Kufuata utawala wa kisheria wa kutii mamlaka za kimataifa hata kama mchakato wa DOWANS umejaa utapeli, lazima tuwalipe ili Rostam asifanye nchi isitawalike.


Sisiti kukuona wewe Mkwere ni kama garasha kwa hizi ahadi zako.


Kiongozi nilikuwa napita tu ndo ghafla nakutana na huu ukumbusho wa mashairi ya Daktari mkuu JK.

Ntarudi baadae.
 
Mchungaji umerudi na hasira mbaya!

karibu tena.

Jamaa anapenda sana kuimba bongo flava hata kwenye mambo yanayohitaji umakini! Umeme ni shida baada ya miaka 50.....hawa jamaa ni yak yak!
 
Hi dharau kubwa sana! Tunajua cha kufanya Ben Ali nguvu ya Umma ilimwangukia na sasa upepo unaelekea kwa Hussein Mubarak! Natamani na sisi tumtoe mkwere na dharau zake hizi. Sidhani akama anajua kuwa tunajua anatudharau

Tawile baba tumechoka tunasubiria kipenga tu tujae mitaani:clap2:
 
Karibu Rev..
akitimiza ahadi hizo zote ruksa kuilipa Dowans na hata kurudi madarakani
 
Kwa wale wacheza karata wanajua maana ya kulamba dume kunavyoweza kuathiri mchezo mzima na kupelekea ushindi. Ila Ukilamba magarasha lazima upate maumivu ya kupoteza mchezo mzima wa karata hata kama utakuwa na jockeri moja na magarasha matupu. Nimeanzia mbali nikijaribu kuangalia ahadi na utekelezaji wa kile alichokuwa akikisimamamia Mh Mwenyekiti wa CCM wakati wa uchaguzi uliopita. Ninapata wasi wasi na IQ yake kwa kile alichokuwa akikisema, Nimeongezea ahadi ya 70 ambayo iko wazi lazima ataitekeleza tena kwa mbwe mbwe.

FONT=Verdana]Kujenga barabara Musoma – Mto wa Mbu Arusha - Arusha[/FONT]
[/FONT][/COLOR][/COLOR][/SIZE][/FONT]

Hii ni ahadi pekee iliyomsaidia Daktari mkuu JK kujipatia "kula" kutoka kwa ndugu zangu wa mkoa wa Mara.
Sasa hizi kelele za wanaharakati wa mazingira zimewapandisha pressure jamaa zangu, nadhani JK atakuwa anatabasamu kwakuwa amepata excuse ya kutotekeleza ahadi yake. Ila asisahau kwamba asipojenga hiyo barabara hasira za raia zitahamia kwenye faru!!
 
Tawile baba tumechoka tunasubiria kipenga tu tujae mitaani:clap2:

Tuna matatizo yanayofanana kama watanzania. Ugumu wa maisha ni kwa kila mtu regardless ya itikadi zake kichama hata kidini. Ni miaka 50 hadi leo tunakosa maji safi ya kunywa wakati fisadis wanakunywa maji sipesheli na matibabu majuu. Misri huyu Husni Mubarak alishinda kwa 95% leo watu wako mtaani hawataki ujinga. Zaidi ya watu Mil 1 wameandamana polisi wameungana nao maana huwezi uwa watu wote hao

_51047570_011166519-1.jpg

 
Back
Top Bottom