Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
Okay umenichekesha sana ujue, sio kwa jibu hili
Tumeoana
Tumeoana
Hela ninazo hadi za mbeguKama huna hela kaa mbali
Teh teh teh. Ebwahahahaha. Duh!Kama hao wanaume Ni graduates siwalaumu. Ni Bora muendelee kuwanyayasa kuliko kunyayaswa na wazazi wao home
Panic inakujaje unajua?huu uzi ukipanic tuu utaonekana na wewe huna hela kweli kama si stress...,
Naimiss sana jf sikuhizi.
Bila ya shaka akili zenu ziko matakoniKwema wandugu, sijui hata nisemeje, hichi kitaa ninapoishi Tupo majike matatu na wote ni marafiki mbaya zaidi wote ni wachaga. Tumepewa majina kama vile jino kwa jino, simba jike nk.
Mmoja wa hao rafiki yangu anaitwa sauti ya simba na baadhi ya watu, ni mwanamke mwenye nyumba mbili mjini hapa na biashara zake ndogo ndogo tu mtaa mzima wanamuogopa hata mimi mwenyewe nikiwa nae namuogopa japo ni rafiki yangu sana, sababu ya kuogopewa ni mtata balaa hadi wanaume wa kitaa wote wanamuogopa ijapo mbele ya mpenzi wake ni sawa sisimizi kwa tembo Yan Hana la Kusema. (badae ntasema kwanini)...