MT255
JF-Expert Member
- May 3, 2012
- 3,381
- 4,648
wana jamvi bila shaka mnamfahamu aliyewahi kuwa meya wa ilala ABUU JUMAA.mtu huyu ni dwani kwa tiketi ya CCM maeneo ya kariakoo.mheshimiwa huyu toka mimi sijaanza kusoma shule ya msingi mpaka leo mtu mzima na familia yangu bado DIWANI takribani miaka 30 iliyopita kusema kwamba hakuna mtu mwenye uwezo wa kuwa diwanimaeneo ya kariakoo au?